we nawe ni zero brain tuElimu ya darasani tumefundishwa na wazungu, hizi phd sijui profesa zote wametwambia wazungu!! Ila unapofikia hatua ukawa profesa ujue unaheshimika dunia nzima!! Lakin nahisi uprofesa wa waafrika hauna thamani sawa na wa wazungu!! Kwa kamati zile za mheshimiwa rais kuandika mahesabu makubwa makubwa ya matrillion inatia shaka usomi wetu.
Kwa mahesabu waliopiga maprofesa wetu wanaihakikishia dunia kwamba Tanzania kuna dhahabu kama mchanga unachota tu!! Kwa mahesabu yao wana maana sisi ndio tunaongoza kwa uzalishaji wa madini dunia nzima. Je , ni ya kweli hayo?? Hawa ACACIA wana mtaji wa trillion 2.6 tzs et tunawadai trillion 110tzs !! Haiji hata kidogo!! Najua mtakuja kuniambia ni hesabu ya miaka karibia 20 sawa! Je huyu unaemdai hiyo mihela si ina maana amevuna zaid ya hizo ziko wap?? Nae alipaswa awe na mihela zaid ya hiyo!!
Kampuni kubwa dunian ya migodi BHP ina thamani ya sh trillion 200, kwa hesabu za hawa wachumi wetu wana maana ACACIA INA ZAID YA TRILLION 300!! Si kutudharirisha huku!! Wazungu wakisikia manamba tunayopiga wanakufa na vicheko na kutuona kama vichaa . Wanaulizana hawa watu wanaijua hiyo hela wanayoitamka?? Tafadhari wasomi wetu hata kama ni kuongeza sifuri sio kwa kiwango hicho . Tunachekwa sana huko dunian wakisikia tunamdai mtu mwenye mtaji wa 2.6 atupe 110!! Wanatucheka kwa dharau!! Na kumbukeni hesabu hizi zinahusu mchanga tu!!
Sasa kama mchanga ambao unathamani ndogo kuliko dhahabu yenyewe tunawadai hela hiyo, je dhahabu yenyewe tumezalisha yenye thamani ya sh ngapi??? Mimi nahisi maprofesa wetu hata figa kwa hela za kwetu wangeshindwa kuziweka !! Maana inazidi trillio elfu moja. Na hapo mkumbuke tunaongelea migodi mitatu tu!!! Inayomilikiwa na ACACIA.
Chonde chonde wasomi wetu msitudharirishe!! Mnapodanganya muwe mnakaribiana na ukweli. Kwa hizi hesabu zenu ni sawa na muuza genge la nyanya kuripoti polisi kaibiwa million 20 wakati kavamiwa na mteja wake huku mtaji wake ulio mezani haufiki hata laki moja!!
Namalizia kwa kusema hivi!! Hata mkeshe kupiga hesabu na hawa ACACIA HATA TRILLION MOJA HATUPATI ng'oooo!!
Steling atafia kwenye maua na moshi wa sigara ukimtoka puaniMMMH HILI PICHA NI ZAIDI YA JUMONG
No, za Katerero.tulimaanisha ni kwa Trilioni 100 ya Zimbabwe
Kwa vile majuha bongo ni asilimia 92.Hatutakusikiliza wewe Na hao mafisadi wenzako wa CDM!!
Na nyie angalieni sana 2020 Asilimia za Magu Ni zaidi ya 80
Anayejua uchumi ni huyu aliyeshindwa kesi ya samaki wa meli ya wachina?Kama uchumi haujui si bora ukae kimya tu.
Usitishe watu, hao watekaji babu wa babu zao wapo au nao wamepotea?Angalia Noah mtoa mada mtaani kwenu,kumbuka we sio Roma,utapotea kimya kimya hizi nyuzi ngumu sana
Naona kazi anayoiweza ni kutumbua na kuteua, kwa hilo anastahili kusifiwa. Ila mengine ni bashite wa kutupwa.Hiyo 2020 hatuangalia hizi ngonjera zake. Tutamhukumu kwa vile alivyoahidi. Sasa we mwache afikiri hiyo 2020 atapata mteremko kwa hizi headlines za kila siku.
You hit the targetElimu ya darasani tumefundishwa na wazungu, hizi phd sijui profesa zote wametwambia wazungu!! Ila unapofikia hatua ukawa profesa ujue unaheshimika dunia nzima!! Lakin nahisi uprofesa wa waafrika hauna thamani sawa na wa wazungu!! Kwa kamati zile za mheshimiwa rais kuandika mahesabu makubwa makubwa ya matrillion inatia shaka usomi wetu.
Kwa mahesabu waliopiga maprofesa wetu wanaihakikishia dunia kwamba Tanzania kuna dhahabu kama mchanga unachota tu!! Kwa mahesabu yao wana maana sisi ndio tunaongoza kwa uzalishaji wa madini dunia nzima. Je , ni ya kweli hayo?? Hawa ACACIA wana mtaji wa trillion 2.6 tzs et tunawadai trillion 110tzs !! Haiji hata kidogo!! Najua mtakuja kuniambia ni hesabu ya miaka karibia 20 sawa! Je huyu unaemdai hiyo mihela si ina maana amevuna zaid ya hizo ziko wap?? Nae alipaswa awe na mihela zaid ya hiyo!!
Kampuni kubwa dunian ya migodi BHP ina thamani ya sh trillion 200, kwa hesabu za hawa wachumi wetu wana maana ACACIA INA ZAID YA TRILLION 300!! Si kutudharirisha huku!! Wazungu wakisikia manamba tunayopiga wanakufa na vicheko na kutuona kama vichaa . Wanaulizana hawa watu wanaijua hiyo hela wanayoitamka?? Tafadhari wasomi wetu hata kama ni kuongeza sifuri sio kwa kiwango hicho . Tunachekwa sana huko dunian wakisikia tunamdai mtu mwenye mtaji wa 2.6 atupe 110!! Wanatucheka kwa dharau!! Na kumbukeni hesabu hizi zinahusu mchanga tu!!
Sasa kama mchanga ambao unathamani ndogo kuliko dhahabu yenyewe tunawadai hela hiyo, je dhahabu yenyewe tumezalisha yenye thamani ya sh ngapi??? Mimi nahisi maprofesa wetu hata figa kwa hela za kwetu wangeshindwa kuziweka !! Maana inazidi trillio elfu moja. Na hapo mkumbuke tunaongelea migodi mitatu tu!!! Inayomilikiwa na ACACIA.
Chonde chonde wasomi wetu msitudharirishe!! Mnapodanganya muwe mnakaribiana na ukweli. Kwa hizi hesabu zenu ni sawa na muuza genge la nyanya kuripoti polisi kaibiwa million 20 wakati kavamiwa na mteja wake huku mtaji wake ulio mezani haufiki hata laki moja!!
Namalizia kwa kusema hivi!! Hata mkeshe kupiga hesabu na hawa ACACIA HATA TRILLION MOJA HATUPATI ng'oooo!!
facts ni facts tu si suala la mzungu, muhindi au msukuma.Kwa concluson hi ya leo nadhani JPM na tume zake waliamua kuongeza mazero ili wakikaa mezani angalau angalau waambulie kidogo.kuliko wangekuja na data za chini.Yaani kifupi Maprofesa wameamua kutumia akili za machinga wa karume kitu cha elfu mbili atakwambia elfu kumi ili mpelekeshane angalau ufike hata elfu tatu.Yaani wewe unawakilisha akili ya ngozi nyeusi, ama kweli watu weusi wamelaaniwa kuwa watumwa wa wazungu. Unaamini data za wazungu?
Steling atafia kwenye maua na moshi wa sigara ukimtoka puani
Elimu ya darasani tumefundishwa na wazungu, hizi phd sijui profesa zote wametwambia wazungu!! Ila unapofikia hatua ukawa profesa ujue unaheshimika dunia nzima!! Lakin nahisi uprofesa wa waafrika hauna thamani sawa na wa wazungu!! Kwa kamati zile za mheshimiwa rais kuandika mahesabu makubwa makubwa ya matrillion inatia shaka usomi wetu.
Kwa mahesabu waliopiga maprofesa wetu wanaihakikishia dunia kwamba Tanzania kuna dhahabu kama mchanga unachota tu!! Kwa mahesabu yao wana maana sisi ndio tunaongoza kwa uzalishaji wa madini dunia nzima. Je , ni ya kweli hayo?? Hawa ACACIA wana mtaji wa trillion 2.6 tzs et tunawadai trillion 110tzs !! Haiji hata kidogo!! Najua mtakuja kuniambia ni hesabu ya miaka karibia 20 sawa! Je huyu unaemdai hiyo mihela si ina maana amevuna zaid ya hizo ziko wap?? Nae alipaswa awe na mihela zaid ya hiyo!!
Kampuni kubwa dunian ya migodi BHP ina thamani ya sh trillion 200, kwa hesabu za hawa wachumi wetu wana maana ACACIA INA ZAID YA TRILLION 300!! Si kutudharirisha huku!! Wazungu wakisikia manamba tunayopiga wanakufa na vicheko na kutuona kama vichaa . Wanaulizana hawa watu wanaijua hiyo hela wanayoitamka?? Tafadhari wasomi wetu hata kama ni kuongeza sifuri sio kwa kiwango hicho . Tunachekwa sana huko dunian wakisikia tunamdai mtu mwenye mtaji wa 2.6 atupe 110!! Wanatucheka kwa dharau!! Na kumbukeni hesabu hizi zinahusu mchanga tu!!
Sasa kama mchanga ambao unathamani ndogo kuliko dhahabu yenyewe tunawadai hela hiyo, je dhahabu yenyewe tumezalisha yenye thamani ya sh ngapi??? Mimi nahisi maprofesa wetu hata figa kwa hela za kwetu wangeshindwa kuziweka !! Maana inazidi trillio elfu moja. Na hapo mkumbuke tunaongelea migodi mitatu tu!!! Inayomilikiwa na ACACIA.
Chonde chonde wasomi wetu msitudharirishe!! Mnapodanganya muwe mnakaribiana na ukweli. Kwa hizi hesabu zenu ni sawa na muuza genge la nyanya kuripoti polisi kaibiwa million 20 wakati kavamiwa na mteja wake huku mtaji wake ulio mezani haufiki hata laki moja!!
Namalizia kwa kusema hivi!! Hata mkeshe kupiga hesabu na hawa ACACIA HATA TRILLION MOJA HATUPATI ng'oooo!!
Ulijua kama watakuja Tanzania kwa private jet? Obvious hukujua. Then kaa kimya acha utabiri usio na tija mwezio sheikh yahya alikuwa analipwa.Tanzania haipewi hata trilioni moja.
Acacia wataishia kufunga hiyo migodi, muende kuchimba huko.
Yaani wewe unawakilisha akili ya ngozi nyeusi, ama kweli watu weusi wamelaaniwa kuwa watumwa wa wazungu. Unaamini data za wazungu?[/QUOT
hatari sana mkuu sijui wa TANZANIA TUMELOGWA NA NANI
Achana nalo hilo, askupotezee muda!Hao ACACIA kuna mjomba wako humo aliyekutajia hisa zao au unaosha jina humu
Hapana hatuja laaniwa hata kidogo bali ni yeye na ukoo wake!Yaani wewe unawakilisha akili ya ngozi nyeusi, ama kweli watu weusi wamelaaniwa kuwa watumwa wa wazungu. Unaamini data za wazungu?
ccm ndio inaweza kuamini kuwa watalipwa hizo trilioni 100 lakini mimi kamwe siwezi kununua huu uwongo