The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
Mimi ni mfanyabiashara wa biashara flani ambayo sitamani kuisema kwa kila mtu aijue kwani inabeba 90% ya identity yangu hapa JF nikiisema tu kila mtu atajua mimi ni nani.
Kwasasa sina pesa hiyo 3m ila kuna OFA nimeletewa na moja ya makampuni ninayo fanya nayo kazi ambapo imeanza wiki hii itaisha next week ijumaa.
Kijana ambae anataka kupata pesa na anafikiria biashara ya kufanya na hajui afanye biashara gani na mtaji wake ni 3m TU aje PM.
sichukui hata shilingi yako,ila kupitia wewe kununua mzigo utanunua kwa jina langu mzigo utakuja kwako Faida yangu ni wewe kukuza JINA langu na uaminifu kwa kampuni husika.
Narudia tena ikitokea umekuja PM nikakwambia nipe hata shilingi yako,Njoo nitolee report ya utapeli hapa kwa uongozi wa JamiiForums.
Mtaji ni 3m TU bidhaa unayoinunua hata ukae nayo MIAKA haiozi na the more unakaa nayo the more inaongezeka thamani kwahyo uamuzi ni wako uiuze urudishe hela yako na faida au ukaifiche unapojua uje uuze muda wako utakaoamua.
Kizuri kula na nduguzo,Mtaji ni 3m tu imefikaje fikaje 3m tutaeleweshana PM na atakaefanikisha naomba asiseme biashara gani nilimpa Connection ila nitaomba arudi kutoa mrejesho hapa hapa kwenye huu uzi.
Tusaidiane panapowezekana,tukiinuka tuinuke sote na kwa pamoja Kuna leo na Kesho.
NOTE : (Hii ni kwa wakazi wa DAR tu) kama upo mkoani sidhani kama itakufaa.
MUHIMU :
Unapokuja PM behave,Jiheshimu,adabu iwepo, Mtu anakuja hana salamu hana nini as tunajuana...
Ukikaribishwa chakula kwa watu kuwa na hekima na busara anza kunawa Mikono kwanza.
Vigezo na masharti kuzingatiwa, Sihitaji wahuni na watu wasiojitambua.
MREJESHO :
OFA IMEISHA,HIVYO ASIJE MTU PM KUULIZIA KUHUSU HII BIASHARA UKIJA PM NJOO KWA MLENGO WA KUFANYA BIASHARA HII LAKINI SI KWA FAIDA KUBWA KAMA AMBAVYO UNGECHUKUA KWA BEI HII YA OFA.
WALE WAKUWEKEZA PESA AMBAO HAMKUTAKA KUWA WAFANYABIASHARA HII PIA IMEPITA,UNAEKUJA PM UWE MFANYABIASHARA AU UNAETAKA KUIANZA HII BIASHARA WEWE KAMA WEWE.
Kwasasa sina pesa hiyo 3m ila kuna OFA nimeletewa na moja ya makampuni ninayo fanya nayo kazi ambapo imeanza wiki hii itaisha next week ijumaa.
Kijana ambae anataka kupata pesa na anafikiria biashara ya kufanya na hajui afanye biashara gani na mtaji wake ni 3m TU aje PM.
sichukui hata shilingi yako,ila kupitia wewe kununua mzigo utanunua kwa jina langu mzigo utakuja kwako Faida yangu ni wewe kukuza JINA langu na uaminifu kwa kampuni husika.
Narudia tena ikitokea umekuja PM nikakwambia nipe hata shilingi yako,Njoo nitolee report ya utapeli hapa kwa uongozi wa JamiiForums.
Mtaji ni 3m TU bidhaa unayoinunua hata ukae nayo MIAKA haiozi na the more unakaa nayo the more inaongezeka thamani kwahyo uamuzi ni wako uiuze urudishe hela yako na faida au ukaifiche unapojua uje uuze muda wako utakaoamua.
Kizuri kula na nduguzo,Mtaji ni 3m tu imefikaje fikaje 3m tutaeleweshana PM na atakaefanikisha naomba asiseme biashara gani nilimpa Connection ila nitaomba arudi kutoa mrejesho hapa hapa kwenye huu uzi.
Tusaidiane panapowezekana,tukiinuka tuinuke sote na kwa pamoja Kuna leo na Kesho.
NOTE : (Hii ni kwa wakazi wa DAR tu) kama upo mkoani sidhani kama itakufaa.
MUHIMU :
Unapokuja PM behave,Jiheshimu,adabu iwepo, Mtu anakuja hana salamu hana nini as tunajuana...
Ukikaribishwa chakula kwa watu kuwa na hekima na busara anza kunawa Mikono kwanza.
Vigezo na masharti kuzingatiwa, Sihitaji wahuni na watu wasiojitambua.
MREJESHO :
OFA IMEISHA,HIVYO ASIJE MTU PM KUULIZIA KUHUSU HII BIASHARA UKIJA PM NJOO KWA MLENGO WA KUFANYA BIASHARA HII LAKINI SI KWA FAIDA KUBWA KAMA AMBAVYO UNGECHUKUA KWA BEI HII YA OFA.
WALE WAKUWEKEZA PESA AMBAO HAMKUTAKA KUWA WAFANYABIASHARA HII PIA IMEPITA,UNAEKUJA PM UWE MFANYABIASHARA AU UNAETAKA KUIANZA HII BIASHARA WEWE KAMA WEWE.