Tume ya maadili tunaomba mkae na na viongozi wakuu wa kitaifa na muwape darasa jinsi yakuongea tone yakuongea either na wananchi au wenyewe kwa wenyewe.
Sijuwi tabia hii wameipata wapi lakini hata Rais hana tone inatumika na wasaidizi wake.
Mfano mzuri ni hata jana mkuu wa mkoa aliongea tone kali na ya hisia kiasi kama watu walisinyaa. Lakini ukimsikiliza yule katibu ofisi ya rais alionga tone ya unyenyekevu sana na ndivyo wanapaswa kuwa.
Ukiacha hilo angalia mawaziri na wakuu wengine wamikoa kiukweli wanaongea tone za ajabu kali na misuli inawatoka wakifikiri ndio njia yakifikisha ujumbe but unaweza kuona wala hawafikishi ujumbe ila wanaleta hofu zisizo za msingi.
Nilazima wakuu wa mikoa,mawazir,wakuu wa wilaya kuongea tone za viongozi na sio kama wanaongea na wafungwa ama wahalifu. Nilazima wakumbuke wanaongea na wananchi walio waweka madarakani na wawapende na kuongea nao kwa upendo.
Hivi majuzuz kumetokea tukio la spika kumuita CAG kama anaita mbwa au kitu gan ile sio sawa hata kama alikuwa na hasira nilazima akumbuke cag ni mkubwa kuliko yeye na anastaili heshima na utu. Nimemsikiliza cag hakuongea kwa jaziba kama spika alivyo ongea ila ukweli utabaki kuwa ukweli sio spika tu hata viongoz wengine wanaita wenzao kwa masauti ya kama wanaita Mbwa.
Serikali nilazima iwe maana ya umoja wetu mkiruhusu watu kutwezana na kudharauliana ni hatari na kitisho kwa usalama wa nchi.
Tutafaka kama mkuu angewaita wakuu wa majeshi kwa tone wao wanatumia kuitana sijuwi ingekuwaje.
Nilazima viongoz waheshimiane na kupendana kuleta umoja wa kitaifa.
Asante
Sijuwi tabia hii wameipata wapi lakini hata Rais hana tone inatumika na wasaidizi wake.
Mfano mzuri ni hata jana mkuu wa mkoa aliongea tone kali na ya hisia kiasi kama watu walisinyaa. Lakini ukimsikiliza yule katibu ofisi ya rais alionga tone ya unyenyekevu sana na ndivyo wanapaswa kuwa.
Ukiacha hilo angalia mawaziri na wakuu wengine wamikoa kiukweli wanaongea tone za ajabu kali na misuli inawatoka wakifikiri ndio njia yakifikisha ujumbe but unaweza kuona wala hawafikishi ujumbe ila wanaleta hofu zisizo za msingi.
Nilazima wakuu wa mikoa,mawazir,wakuu wa wilaya kuongea tone za viongozi na sio kama wanaongea na wafungwa ama wahalifu. Nilazima wakumbuke wanaongea na wananchi walio waweka madarakani na wawapende na kuongea nao kwa upendo.
Hivi majuzuz kumetokea tukio la spika kumuita CAG kama anaita mbwa au kitu gan ile sio sawa hata kama alikuwa na hasira nilazima akumbuke cag ni mkubwa kuliko yeye na anastaili heshima na utu. Nimemsikiliza cag hakuongea kwa jaziba kama spika alivyo ongea ila ukweli utabaki kuwa ukweli sio spika tu hata viongoz wengine wanaita wenzao kwa masauti ya kama wanaita Mbwa.
Serikali nilazima iwe maana ya umoja wetu mkiruhusu watu kutwezana na kudharauliana ni hatari na kitisho kwa usalama wa nchi.
Tutafaka kama mkuu angewaita wakuu wa majeshi kwa tone wao wanatumia kuitana sijuwi ingekuwaje.
Nilazima viongoz waheshimiane na kupendana kuleta umoja wa kitaifa.
Asante