Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,911
- 1,686
Ilikuwa zamani sana hiyo!imebak kwenye vitabu tu
Acheni mwemko vijana uzoefu unaonyesha wanao iitokeza kupiga kura ni wachache sana hasa ukizingatia ccm watawatisha kutumia polisi na jeshi.
Uzoefu unaonyesha pia wanachama wa ccm wako very commited kwenye upigaji wa kura tofauti na wafuasi ambao hako serious.