Tume imeelemewa na shuhuda za kweli. Sasa hawataki tena ziende hewani moja kwa moja

Tume imeelemewa na shuhuda za kweli. Sasa hawataki tena ziende hewani moja kwa moja

Kwanza iliundwa kimkakati sana

Hakukuwa mjumbe hata mmoja nje ya cycle yao.. Wajumbe wote ni makada watiifu wenye maisha mazuri kupitiliza

Pili jina lililopewa lilimaanisha kuinasua serikali na tuhuma za mauaji na kuwasakizia wananchi kuwa ndio walifanya vurugu

Uongo hupanda lift bali ukweli hukwea ngazi. Wakati ni hakimu wa haki.. Kinachotokea kwenye shuhuda kinatisha na kuumiza zaidi

Japo watu wengi walisusia kufika mbele ya tume ya mchongo lakini hao kiduchu waliofika wamivua nguo serikali na mamlaka zake!

Tume imelemewa na shuhuda za kweli sasa hawataki tena ziende hewani moja kwa moja.. Waandishi wamezuiwa kuripoti direct na sasa watasubiri watakachopewa na tume
Tunarudia tena kosa like lile.. Kukipaka kinyesi manukato ili ksinukeView attachment 3533925
Hii ya Ubungo waniite nitoe ushuhuda bil kupepesa. Ilikuwa hatari kwakweli.
 
Alert 🟤⚠️🚫

Baada ya kuona wanaumbuka na siri za walichojaribu kukificha zinafichuliwa.

Nini maana yake:

  • Tume inakosa integrity ya wanachofanya na kupelekea legality kupotea,kwani wataficha mengi na mwishoni no one atapokea au kuamini ripoti yao
  • Jambo la pili ni hatari ya maisha kwa mashuhuda kutoa ushahidi kizani na kupotea kizani
  • - -
  • - -
  • - -
  • - -Ukifuatilia na yaliyojiri msibani unaona kuwa bado kama serikali hawana nia ya kweli na thabiti kufanya lolote la nia njema kutoka hapa tulipokwama.Mitego mingi inarushwa kwa style mbalimbali ili Taifa liingizwe kwenye sanaa zile zile za kisiasa za miaka yote zisizofikia tamati bali kuwapa wananchi matumaini hewa na kupoteza muda wao
    IMG-20260124-WA0047.jpg
 
Hatarii!
Samuya na uongozi wake utaishia pabaya sana sana.
Kiukweli hatutamkumbuka kwa mazuri bali kwa ukatili, wizi na nepotism!
 
Kinachofuata mashekhe wa BAKWATA ndiyo wataenda kutoa ushahidi wa uongo wakiamini kuwa wanamnusuru mwenyekiti wao kumbe ndiyo wanazidi kumpaka kinyesi. Ushahidi ambao umeshatolewa na kile Watanganyika tulichoshuhudia kwa macho yetu kinatosha kabisa kumtia Samia na magaidi wenzake hatiani.
 
Kwanza iliundwa kimkakati sana

Hakukuwa mjumbe hata mmoja nje ya cycle yao.. Wajumbe wote ni makada watiifu wenye maisha mazuri kupitiliza

Pili jina lililopewa lilimaanisha kuinasua serikali na tuhuma za mauaji na kuwasakizia wananchi kuwa ndio walifanya vurugu

Uongo hupanda lift bali ukweli hukwea ngazi. Wakati ni hakimu wa haki.. Kinachotokea kwenye shuhuda kinatisha na kuumiza zaidi

Japo watu wengi walisusia kufika mbele ya tume ya mchongo lakini hao kiduchu waliofika wamivua nguo serikali na mamlaka zake!

Tume imelemewa na shuhuda za kweli sasa hawataki tena ziende hewani moja kwa moja.. Waandishi wamezuiwa kuripoti direct na sasa watasubiri watakachopewa na tume
Tunarudia tena kosa like lile.. Kukipaka kinyesi manukato ili ksinukeView attachment 3533925
Order ishatoka kwa bi.Msumi huko kuwa mashahidi wanatikisa meza yenye don julio na dom perignon😂😂😂 tafadhalini sana.
 
Back
Top Bottom