Too Early to talk about this!...u never know, huenda aka'file rufaa je?
Imetangazwa kuwa wakuu wote wa chama wanakaa kama chama, then tamko/maamuzi ya pamoja yatatolewa jioni ya leo
lete Data zote na kiasi gani kinatakiwa
kichangwe. halafu andika thread yenye maelezo
zaidi na si mstari mmoja tu .. Nimeshuhuhudia na nimekusanya
michango kutoka kwa wana JF kumsaidi mtu ambae hata hakuwa
member hapa. Na ni wengi sana walijitokeza na kumsaidia ...
Ila watu watahitaji maelezo zaidi ya mstari mmoja..
Asante.. Easter njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.