Tumbo la ajabu

Tumbo la ajabu

The Icebreaker

Platinum Member
Joined
Apr 24, 2014
Posts
38,332
Reaction score
118,781
Jamaa mmoja alikuwa na tumbo kubwa sana mpaka mikono ikawa haifiki kujikuna hasa maeneo ya kwenye kitovu na kwingineko, hivyo ikawa tabu kumuelekeza msaidizi wake ni sehemu ipi hasa inayomuwasha ili amsaidie kumkuna.

Siku moja akaamua kuchora ramani ya dunia tumboni mwake ili iwe rahisi kumfahamisha msaidizi wake amkune wapi, basi ikawa akiwashwa chini ya kitovu utasikia "South afrika panawashaa" juu kidogo "Tafadhali nikune Ujerumani" kushoto kidogo "Argentina please!!
 
ha ha haaa chezea kunenepa wewe hadi unatumia compass and direction.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom