Tumbo kuhara week nne mfululizo, nini tatizo?

Twinawe

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
2,363
5,110
Nina week nne nahara mfululizo, nilipima wakanambia mchafuko wa kawaida kutokana na maji nilikua nakunywa nilivyobadili mazingira .

Tumbo haliumi ila natoa ushuzi una harufu kali, nahara leo nimeona kama vipande vya damu kwenye kinyesi.

Nini linaweza kuwa tatizo?
 
Nina week nne nahara mfululizo nilipima wakanambia mchafuko Wa kawaida kutokana na maji nilikua nakunywa nilivyobadili mazingira .

Tumbo haliumi ila natoa ushuzi una harufu kali nahara Leo nimeona kama vipande vya damu kwenye kinyesi.

Nini linaweza kua tatizo?
Hiyo dalili ya upungufu wa kinga mwilini! Kapime ngoma mkuu!
 
Nina week nne nahara mfululizo, nilipima wakanambia mchafuko wa kawaida kutokana na maji nilikua nakunywa nilivyobadili mazingira .

Tumbo haliumi ila natoa ushuzi una harufu kali, nahara leo nimeona kama vipande vya damu kwenye kinyesi.

Nini linaweza kuwa tatizo?

Ndugu,nakushauri kitu kimoja,chukua kitunguu saumu(swaumu)Garlic ,saga punje moja meza na maji, kama huwezi katakata punje moja mara nne halafu mezana maji asubuhi na jioni. Baada yasiku mbili lete mrejesho hapa.
 
Kama unahara Damu tafuta METRONIDAZOLE zitakusaidia lakini ukiona hali bado inaendelea bhasi nenda hospital sababu kuhara damu ni dalili kuwa Ndani kwenye mfumo wa chakula kunaweza kuwa na shida kubwa zaidi kama Vidonda au uvimbe...!! Sema unahara damu alafu unasema husikii maumivu???? Mmh..
 
Back
Top Bottom