Tumaini Makumira university vipi?

Tumaini Makumira university vipi?

Bihawana

Member
Joined
Sep 25, 2009
Posts
15
Reaction score
1
Jamani kama kuna mtu anafahamu hawa Tumaini University Makumira wanatoa lini majina ya waliochaguliwa second round atujuze maana nimechoka kuangalia profile yangu TCU ikiwa imeandikwa Waiting for Approval.

Hawa jamaa wapo serious kweli? siku za vyuo kufunguliwa zimeisha sana na wanafunzi wanatakiwa kujipanga ili kama kuna gharama watafute, sasa ucheleweshwaji huu siwaelewi. Mbona vyuo vingine walisha toa siku nyingi?

Msaada kwa anayejua lini wana approve hiyo senate yao ili niwe na amani.

Asanteni
 
Mbona hata wa first round wameandikiwa waiting for approval na majina yametoka kwenye website yao..kuna dogo langu pia kapata hapo na jina limetoka na badi wamemuandikia waiting for approval.
 
Waiting for approval isikupe shida maana hata wa 1st round wameandikiwa hivyo tofauti ni kuwa wao waki-login wanaambiwa admission confirmed ila neno waiting for approval lipo pale pale.
 
kumbe tupo weng, hata mim nimechaguliwa MUST. na majina fist batch yameshatoka, na kwenye profile yangu bado nimeandikiwa waiting for approval, labda ngoja tusubiri second batch.
 
daaaah tumain makumiraaaaaa mnatuzinguaa jamaaa kimya kiiingi batch2 vip???? first batch kma mna join tuone gharama kwanza wadauu
 
wote mliokua mnataka kuona majina ya 2nd round ya makumira...sasa yametoka...pitia website yao wameupdate majina ya waliochaguliwa...though kule TCU hali iko vilevile..waiting for upproval
 
akili mi nipo branch ya mbeya vip wametoa??? mana cna ili wala lile nw kk nipe data au link au nchekie
 
Jaman mi nimechaguliwa tumaini makumira lakini kwenye profile yng nimeandikiwa kuwa chuo teyar kime conferm jina lng ila kwenye majina ya chuo cjaona xaxa celew
 
Jamani kama kuna mtu anafahamu hawa Tumaini University Makumira wanatoa lini majina ya waliochaguliwa second round atujuze maana nimechoka kuangalia profile yangu TCU ikiwa imeandikwa Waiting for Approval.

Hawa jamaa wapo serious kweli? siku za vyuo kufunguliwa zimeisha sana na wanafunzi wanatakiwa kujipanga ili kama kuna gharama watafute, sasa ucheleweshwaji huu siwaelewi. Mbona vyuo vingine walisha toa siku nyingi?

Msaada kwa anayejua lini wana approve hiyo senate yao ili niwe na amani.

Asanteni

nenda chuo umechaguliwa chek na email yako mpaka joining instuction tumetumiwa na bado tumeandikiw kama ww.naelekea makumira ahsante
 
akili mi nipo branch ya mbeya vip wametoa??? mana cna ili wala lile nw kk nipe data au link au nchekie

nipo makumira mbeya center nicheki hapa 0682919945,kitambo na joining tumetumiwa kitambo
 
Iringa University nayo ni Makumila??

Ilikuwa MAIN CAMPUS lakini sasa MAIN CAMPUS ni TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA kipo ARUSHA. Iringa kwa hivi sasa inajisimamia yenyewe haipo chini ya MAKUMIRA.
 
Jaman mi nimechaguliwa makumira arusha lakn mpka leo jna lngu clioni kwenye website yao ila kwenye profle yng chuo teyar kimethbitisha kulikubl ombi langu nisaidien plz
 
Back
Top Bottom