Habari wazee...
dah serikali hii au sijui ni vyuo tu yaani nimefanya vizuri science lakini naenda kuchaguliwa course ya uwalimu doh....it's all good.Kwa wale waliochaguliwa ''Tumaini University Makumira'' Tujuaneeee aseeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.