@Zomba hizi kamba mbona zinazidi siku hizi.. darsa gani lile wakati wewe abiria tu ktk meli..Mnadanganywa sana na hivi vitabu vya kusona ingia majini baharia wa nchi kavu utajua kinachoendelea..
Ahahahah! wewe acha hizo bana baharia wapi Kivukoni?Nadhani hujui kuwa nilikuwa baharia kwa miaka 5 (wa kimataifa). Sikisii, nikiongelea mambo ya meli.
Ahahahah! wewe acha hizo bana baharia wapi Kivukoni?
KARIA miye nataka ule wimbo wa hidaya ulioimbwa na pepe kalle. unanikumbusha enzi hizo friends corner..............ama umesahau? sijakuona siku nyingi sijui mwenzio lpd umempeleka wapi.Asante sana ngudu mtoa mada. Kwa kabisa natuma salamu a babu yangu mpendwa Asprin na wake zake wote, Swahiba yangu kaiser, rafiki zangu erick52 JAGment, Rocky, Bishanga, dada yangu Catherine, bila kumsahau mamito gfsonwin, na mchumba wangu Yummy! Mwisho ni kwa wana JF popote pale walipo. Wimbo; Mwanameka uliopigwa na Dar International chini ya uongozi wa Marijani Rajabu.
...wanakudanganya sina Uwezo...ninao...na sio Mchezo...ona sasa unanipa mawazo...Amua ..Amua.. Pretasina valu valu bebii....nataka mi nawe tuwe....
Natuma salamu kwa mama yangu mpenzi gfsonwin popote pale alipo. Ujumbe kwake Nampenda mpaka naumwa! Dedication ~Marashi ya pemba
Ewaaa hapa sasa nina kidume.... Wanaume tumeumbwa mateso!
Leo tukale makange sweetlo. Apo rose garden fasta turudi kwa mza thn jiono ntakupikia mimi mwenyewe! Mwaaaa gfsonwin
KARIA miye nataka ule wimbo wa hidaya ulioimbwa na pepe kalle. unanikumbusha enzi hizo friends corner..............ama umesahau? sijakuona siku nyingi sijui mwenzio lpd umempeleka wapi.
natuma salamu kwa braza wangu PAPAA MSOFFE namchagulia kibao cha jela cha Ndanda kosovo
Mi natuma salamu kwa marehemu Regia Mtema na Chetuntu RIP my queens. JF is not the same without you girls. MMU inazimisi busara zenu. Wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uangalizi wa Kongosho semeni Amina. Roulette popote ulipo anzisha dua maalum kuwaombea ukishirikiana na watumishi wa Mungu Kaizer, KARIA, ram, Prishaz na afrodenzi.... Wimbo: Mbinguni kuna makao mazuri sana. Ujumbe: Kesheni mkiomba maana hamuijui siku wala saa. AMEN.