Tuliwaonya sana hamkusikia

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
10,013
Reaction score
14,618
HAYA sasa mmepata mlichotaka baada ya kukaidi kuonywa muda mrefu sana.

Yuko wapi mtoto wa Heche? Yuko wapi mtoto wa Mnyika? Yuko wapi mtoto wa Lema? Yuko wapi mtoto wa Msigwa? Yuko wapi mtoto wa Maria japo hazai? Wako wapi ndugu za Heche, Mnyika,Lema, Chiba na viongozi wengine? Yuko wapi Brenda? Ambaye akiguswa kidogo tu anajifunika ushungi anakimbilia Kenya!..

Wazazi tulipokuwa tunawaambia muwakanye watoto wenu hii ndiyo ilikuwa maana yake sasa!..Hamkusikia wala kuwakanya watoto wenu na haya sasa ndiyo matokeo yake..

Msishangae hawa wa Mwanza kuna wengine leo wanakwenda Kisutu na huko Arusha na Mbeya batch lao linakuja!..
 
Kuna kanukuu niliwahi kutana Nako kanasema

"WAPUMBAVU HUFA MARA ELFU MOJA"
 
Ng’ombe wa mama, tulia zizini usubiri maelekezo ya mfugaji wako.

Tumeingia kwenye haya mapambano tukijua Serikali ya mazafakas itatushambulia. Options zetu ni mbili tu: kushinda au kufa kwenye mapambano!
 
Lipenda rushwa na wizi linapost
 
Kipi kinachokufanya ufurahie sasa ? Muda mwingine hata ile akili ya kibinadamu iwepo basi. Hapa duniani kila mtu ataondoka tu na Mahakama bado haijawakuta na hatia.
 
Kipi kinachokufanya ufurahie sasa ? Muda mwingine hata ile akili ya kibinadamu iwepo basi. Hapa duniani kila mtu ataondoka tu na Mahakama bado haijawakuta na hatia.
Wapi nimefurahi???
 
Hata Lissu yuko ndani na Ali Kibao na Mdude wao ndiyo wametolewa uhai kabisa so what's your point?
 
Saanane Ben,Soka,Mdude......
 
Hao wapumbavu wako jela Wanakula Mlo mlo mmoja kwa siku asubuhi wanakunywa uji usiokua na Sukari
Wewe jamaa ni mjinga ndo mana un kunya mavi na kuyapiga picha na kupost hapa jamvini.
Hivi Mandela wakati ana pambana na makaburi watoto wake walikuwepo?
Nyererere je kina makongoro walikuwepo?
Chizi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…