Tuliwaonya kuwa kikatiba, hakuna cheo cha Naibu Waziri Mkuu mkatudharau

Tuliwaonya kuwa kikatiba, hakuna cheo cha Naibu Waziri Mkuu mkatudharau

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,424
Kwa waliosoma katiba ya nchi vizuri, hatuna cheo cha naibu waziri mkuu.

Hicho cheo feki kwa mara ya kwanza, kilitumiwa na Ali Hassan Mwinyi kumpoza Augustine Mrema na mara ya pili ni Samia kumzuga Dotto Biteko ili watu wa Magufuli wamtafutie kura halafu awabwage kama alivyofanya.

Ukiangalia wote waliotemwa, wengi walikuwa watu wa Magufuli.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Kwa waliosoma katiba ya nchi vizuri, hatuna cheo cha naibu waziri mkuu.

Hicho cheo feki kwa mara ya kwanza, kilitumiwa na Ali Hassan Mwinyi kumpoza Augustine Mrema na mara ya pili ni Samia kumzuga Dotto Biteko ili watu wa Magufuli wamtafutie kura halafu awabwage kama alivyofanya.

Ukiangalia wote waliotemwa, wengi walikuwa watu wa Magufuli.

Wajinga ndiyo waliwao.
Salim Ahmed Salim amewahi pia naibu waziri mkuu na waziri wa ulinzi kwa wakati mmoja. Hilo unalizungumziaje?
 
Salim Ahmed Salim amewahi pia naibu waziri mkuu na waziri wa ulinzi kwa wakati mmoja. Hilo unalizungumziaje?
Basically hakipo kabisa ila
katiba inampa Rais mamlaka ya kuanzisha na kufuta nafasi za madaraka ya umma (kama inavyoelezwa katika Ibara ya 36(1)).

Mamlaka haya ya Rais ndiyo yanayotumika kuanzisha nafasi ya Naibu Waziri Mkuu, kwa kawaida ikiambatana na nafasi ya Waziri wa Wizara fulani.
 
Back
Top Bottom