Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,218
Kwa coment hii, uzi umefika mwisho. Jiwe ndio katufikisha hapa.Aliye tuvuluga ni yule mzee aliyekua anasema kila mara watanzania tumuombeee
Bangi hiziAliye tuvuluga ni yule mzee aliyekua anasema kila mara watanzania tumuombeee
Mhutu ndiye alituvuruga.Regardless of chama , hii ilipendeza sana kuona baina ya vyama, kuunganishwa na nchi yetu kwa umoja.
Nani aliingiza sumu ya kuondoa utaifa wetu?
View attachment 1895718
Yeye anamalizia tu tena kwa kasi ya 5GMama mishungi na uzanzibar wake ndo anavuruga taifa letu
Hiyo ilikuwa si poa.Sikuwahi kumsikia kikwete akichombeza maneno ya kabila lake kwenye kampeni au kwenye mikutano ya kisiasa. Ila sasa akaja mtu mmoja hivi sijui kutokea wapi dah tumepitia pagumu sana
Anakwambia maendeleo hayana vyama,akitoka hapo kituo kinachofuata anakwambia mkichagua upinzani sileti majiAliye tuvuluga ni yule mzee aliyekua anasema kila mara watanzania tumuombeee
Mh. Pombe na chama chake!Nani aliingiza sumu ya kuondoa utaifa wetu?
Na huyu mwenye macho ya kusinzia Mbona km vile ni mbaya kuliko jiwe??.Kwa coment hii, uzi umefika mwisho. Jiwe ndio katufikisha hapa.