Tuliwahi kuwa Taifa moja na Utaifa ulikuwa juu, kimetokea nini miaka ya karibuni?

Unapotaka kupata structure mpya ya kitu fulani, basi ni LAZIMA uharibu sura ya zamani ili ujenge kitu kipya..

Usishangae. Hii ni hatua ya lazima kwa taifa hili kupita ili kwenda kuzaliwa taifa jipya la Tanzania. It's a painful stage lakini lazima tupite humo..

In my opinion, Rais Samia Suluhu Hassan ndiye wa mwisho kuhitimisha process hii ya evolution before the emergency of new Tanzania...!!
 
Sikuwahi kumsikia kikwete akichombeza maneno ya kabila lake kwenye kampeni au kwenye mikutano ya kisiasa. Ila sasa akaja mtu mmoja hivi sijui kutokea wapi dah tumepitia pagumu sana
 
Sikuwahi kumsikia kikwete akichombeza maneno ya kabila lake kwenye kampeni au kwenye mikutano ya kisiasa. Ila sasa akaja mtu mmoja hivi sijui kutokea wapi dah tumepitia pagumu sana
Hiyo ilikuwa si poa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…