Tulipoyasema haya awamu ya 5, Tulionekana siyo Wazalendo. Kiko wapi sasa?

Rais wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan , Amewaagiza wakurugenzi wa mashirika ya umma wasikope hela kwenye mabenki ili kutoa gawio kwa serikali , hata kama mashirika yao hayatatoa gawio haimaanishi kwamba watafutwa kazi .

Wakati wa Utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 , Rais wa awamu hiyo alijiapiza hadharani kwamba Mkurugenzi wa shirika lolote asiyetoa gawio kwa serikali atafutwa kazi , jambo lililowafanya wakurugenzi hao kukopa hela kwenye mabenki ili kudanganya umma kwamba yamepata faida .

View attachment 2721665
EIsh!
Bado wanadumisha utamaduni kumbe
 
Sawa ila swali linabakia alipoina mabaya yanatendeka kwa nini alibaki Kimya? Au hakuyaona au aliona ni sawa yatendeke? Au alikua anatetea tumbo lake?

Sins of Omissions
Mara hii tu mmeshamsahau jiwe alivyokuwa? Kwa hili mama namtetea kabisa.

Wastaafu walijaribu wakaambiwa wanawashwawashwa.
 
Magufuli Kwa hili was right...CEO umekaa kwenye kiti cha kuzunguka umeweka bando la laki unachati na mchepuko tu..mshahara mkubwa performance zero Kwa Nini asikuamuru ulipe gawio Kwa njia yeyote?...Toa gawio Kwa serikali by any means... Ye mwache awachekee ma CEO
 
Hoja nzuri. Ccm ni mbuzi.

Pamoja na hayo, usiwe unaweka space kabla ya kuweka alama ya mkato. Huo ni ushamba. Wewe na Lema mna tabia hii
 
Magufuli Kwa hili was right...CEO umekaa kwenye kiti cha kuzunguka umeweka bando la laki unachati na mchepuko tu..mshahara mkubwa performance zero Kwa Nini asikuamuru ulipe gawio Kwa njia yeyote?...Toa gawio Kwa serikali by any means... Ye mwache awachekee ma CEO
Hata kama kapata hasara akakope atoe gawio huku wakiuhadaa umma kuwa wamepata faida? Huo si ukichaa kabisa? Ndo maana tunauza bandari
 
Samia hayupo sahihi, kwa maneno mengine ana waambia hao ma-CEO kuwa wasijali, waendelee tu na upigaji, kazi zao zipo salama.

Awamu ya 5 haikusema wakakope ili watoe gawio, ilitaka waongeze ufanisi na kupata faida. Mambo ya kukopa kama kweli, ulikuwa ni ujinga wa waliokopa. Isitoshe, hizi tuhuma za kukopa ili kutoa gawio kwa asilimia kubwa si za kweli, ingekuwa kweli na JPM kulijua hilo, basi angewatumbua waliofanya hivyo Mara moja.
Viongozi wanasema ni kweli , wewe unapinga kama nani ? Jiwe alijua wanakopa ila kwa vile alilenga kutupiga fix kwamba ameboresha ufanisi akaamua kunyamaza
 
Kukopa kama kweli, ilikuwa ni utashi wa CEO, JPM hakuagiza wakakope, kama walikopa ni uoga wao wa kutumbuliwa.
Hata kama hukumpenda JPM, tumia akili zako kidogo katika hili, acha kuwa bwege.
Wewe ndo CEO wa mabwege kabisa! Hivyo unaamini uzembe wa CEO ni sababu pekee ya kupata hasara/kushindwa kutengeneza faida.

Pia ubwege unakutuma kila anayekosoa maamuzi ya Magufuli anamchukia!
 
Rais wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan , Amewaagiza wakurugenzi wa mashirika ya umma wasikope hela kwenye mabenki ili kutoa gawio kwa serikali , hata kama mashirika yao hayatatoa gawio haimaanishi kwamba watafutwa kazi .

Wakati wa Utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 , Rais wa awamu hiyo alijiapiza hadharani kwamba Mkurugenzi wa shirika lolote asiyetoa gawio kwa serikali atafutwa kazi , jambo lililowafanya wakurugenzi hao kukopa hela kwenye mabenki ili kudanganya umma kwamba yamepata faida .

View attachment 2721665
Wakurugenzi wasipo banwa hawawezi kuwa active kwenye mashirikayao wanakuwa wanalalatu kusuburi mishahara minono na madili.

Hii nchi inaangamia kwasababu ya kuwa nawatu kama wewe wasijua wanacho taka.

Huku tunakubaliana kwenye mkataba mbovu wa DP WORLD, huku unasupport Irresponsibility!.
 
Rais wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan , Amewaagiza wakurugenzi wa mashirika ya umma wasikope hela kwenye mabenki ili kutoa gawio kwa serikali , hata kama mashirika yao hayatatoa gawio haimaanishi kwamba watafutwa kazi .

Wakati wa Utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 , Rais wa awamu hiyo alijiapiza hadharani kwamba Mkurugenzi wa shirika lolote asiyetoa gawio kwa serikali atafutwa kazi , jambo lililowafanya wakurugenzi hao kukopa hela kwenye mabenki ili kudanganya umma kwamba yamepata faida .

View attachment 2721665

Mkuu huoni mnavyopotezwa kiboya kwenye inshu za bandari? Ni lini mtajua kung’amua mambo madogo kama haya?

Mara ngapi sisiemu ikawa na jambo lake likashindwa? Hapa ni samia kuwapoteza ili muongelee ya nyuma na kuona kuwa JPM alikuwa na makosa. Sasa na ninyi mlivyo na vichwa vya kondoo mnaingia kichwa kichwa

Hapa ni kuua mjadala wa Bandari shtukeni mnafanya tukose imani na ninyi kujua mnasimamia wapi?

Samia ameingiza verse kidogo tu na ninyi mmejaa hatari sana.

Mambo kama haya siyo ya kumbilia na kuyafungulia uzi. Let’s stick with one agenda ambayo ni okoa badari yetu kwa maslai mapana ya nchi yetu
 
Rais wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan , Amewaagiza wakurugenzi wa mashirika ya umma wasikope hela kwenye mabenki ili kutoa gawio kwa serikali , hata kama mashirika yao hayatatoa gawio haimaanishi kwamba watafutwa kazi .

Wakati wa Utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 , Rais wa awamu hiyo alijiapiza hadharani kwamba Mkurugenzi wa shirika lolote asiyetoa gawio kwa serikali atafutwa kazi , jambo lililowafanya wakurugenzi hao kukopa hela kwenye mabenki ili kudanganya umma kwamba yamepata faida .

View attachment 2721665
Wewe hujui governance. Hivi mkurugenzi wa CRDB anaweza kuwepo kwenye cheo kama anapata hasara??? Yaani unaposapoti huu ujinga unamaanisha shirika lipate hasara na kurugenzi awepo? Hujamuelewa rais Dkt Samia. Yeye anamaanisha kukopa ni kuiongezea mzigo serikali.
 
Back
Top Bottom