Tulipofikia

Tulipofikia

halafu ukiangalia wote ni black..........nahic mchungaji na hao wanaume wote wanaoshangilia lazima watakuwa mapunga
 
Kuna miguu mitamu hapo kulia......!

img-20161230-wa0019-jpg.453330
Mmh!i macho haya!! Umefunkunyua mpka umeona na huko pembeni!!!!
 
Evolution of species.
Ni kwamba one way or the other specie itakua, itatawala, itapotea. Just like dinosaurs walikua extinct kwa meteorite, binadamu tutajimaliza wenyewe kwa kutokuzaa. Hii kitu itapingwa sana ila one way or the other itakuja kua the new normal.
Hakuna new normal. Last time walijaribu kuifanya new normal waligharikishwa! Tusubiri bakora ingine. Allah atunusuru, amiyn.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom