kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,280
- 4,579
Binafsi niliwahi kuuziwa dhahabu miaka ya 2000s kipindi hicho ndo naingia mjini.
Nilitoka kwetu kijijini kuelekea mwanza mjini nilifika stendi nilishuka vizuri tatizo lilianza nilipoanza kukatiza mitaani mbele yangu alitokea jamaa mmoja amechakaa Sana akiwa anaongea lafudhi ya kisukuma aliniambia Kuna wazungu wamepata ajali maeneo ya Geita na yeye alifanikiwa kupata dhahabu kidogo katika ajari ile hivyo alikuja Mwanza mjini kutafuta wateja aliniambia nimsaidie atanipa kiasi kidogo
Sikuwa tayali kuachia utajili fasta nilimuuliza Ni shi ngapi aliniambia nimpe 40k by that time.
Mfukoni nilikua na 10k nilishusha mpaka akakubali akanipa mzigo nikalipa tukaachana.
Baadae nilikuja kucheki mzigo umegeuka mawe daaaah ! Jamaa aliniotea.
Tupia story yako ulivotapeliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitoka kwetu kijijini kuelekea mwanza mjini nilifika stendi nilishuka vizuri tatizo lilianza nilipoanza kukatiza mitaani mbele yangu alitokea jamaa mmoja amechakaa Sana akiwa anaongea lafudhi ya kisukuma aliniambia Kuna wazungu wamepata ajali maeneo ya Geita na yeye alifanikiwa kupata dhahabu kidogo katika ajari ile hivyo alikuja Mwanza mjini kutafuta wateja aliniambia nimsaidie atanipa kiasi kidogo
Sikuwa tayali kuachia utajili fasta nilimuuliza Ni shi ngapi aliniambia nimpe 40k by that time.
Mfukoni nilikua na 10k nilishusha mpaka akakubali akanipa mzigo nikalipa tukaachana.
Baadae nilikuja kucheki mzigo umegeuka mawe daaaah ! Jamaa aliniotea.
Tupia story yako ulivotapeliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app

