mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 924
- 1,587
tupatie mkuuSoon ntawapa njia ninazotumia na ukizifata unaweza ukapiga hatua
tupatie mkuuSoon ntawapa njia ninazotumia na ukizifata unaweza ukapiga hatua
Sitausahau mkopo wangu wa kwanza kabisa. Ndipo nilipoanza kushika mamilioni, ilikuwa September 2016. Basi nikanunua kiwanja kimoja na pesa nyingine nikaiingiza kwenye biashara ya duka la vitu mchanganyiko.
Aisse biashara ilinikataa kabisa. Duka la milioni kadhaa mauzo elfu 20 per day. Mwisho wa siku Mimi ndiye nikawa nalilisha duka badala ya Mimi kulishwa na duka.
2017 nikakopa tena huenda nitainuka nikaambulia hola nikamkumbuka wife aliyenishauri nisiiingize ile fedha dukani. Nikafunga biashara. Hapo ndipo nikaanza kuwa huru.
Ile pesa ni heri ningenunua mbwa niwafuge aisee, inaniuma mpaka kesho.
Nimeweza kufanya maendeleo maada ya kuacha business.
Ahahaha.Duh Kaka Mimi nakumbuka ilikuwa 2012..aisee Bora ningechukua viwanja tu..biashara Bila busta Ni kupoteza muda tu
Ahahaha.
Inaumiza sana.
Hapa nawaza kukopa nifungue biashara tena.
Ila daaahh
Ilikuwa sh ngppitia nyuzi za wadau wengi humu wameonya sana juu ya hili
Nilijifanya mbishi nikakopa nikafungua biashara mpya, now imekufa
Ilikuwa sh ngp
Kweli kabisa biashara sio kitu cha kila mtu!Hapa ndio tunasemaga si kila mtu anaweza kufanya biashara.
Halafu anatokea mpuuzi mmoja anasema vijana mjiajiri 😅 mie sina background yoyote ya biashara najiajiri vipiWengi wameingizwa Mkenge kwenye Biashara na wale Motivation Speakers..,
Yani ile unakuja kutahamaki bidhaa Dukani zimeisha, inabaki Leseni ya Biashara inakuangalia tu!!!
Kinachobaki ni kufunga na kuja night kutoa Mabango yenye Jina lako...!!!
Hapa kinachofata ni kifo cha BP tu maana mfariji wako nae malkia wako kakugeuka!Alafu ukute ulikuwa na ajira tena serikali ni na mambo yamekuendea mrama..marafiki wanakucheka ndugu wanakuona kituko mke anajuta kuolewa na wewe.....serikalini ushapigwa ban kurudi daaah.
Tatizo wengi tuna mitaji fixed! Ukiwa na mtaji fixed lazma ile kwako! Biashara mwanzoni ina hasara hasara nyingi sana ila mtu akikuwasha gari kuwa biashara flani inalipa unaweza wehuka ukiskia mishindo anayopiga yeye unaskia mie hamna hamna sikosi laki 9 kwa mwezi humu😅😅😅! Hapo mwenzio ana mwaka wa 3 kwenye ramani na wateja kila kona!Duh Kaka Mimi nakumbuka ilikuwa 2012..aisee Bora ningechukua viwanja tu..biashara Bila busta Ni kupoteza muda tu
Pole sana ulijifanya bandidupitia nyuzi za wadau wengi humu wameonya sana juu ya hili
Nilijifanya mbishi nikakopa nikafungua biashara mpya, now imekufa
Pole sana ulijifanya bandidu
Biashara lazma uwe na kipato cha ziada yani ndio maana ukichunguza wanaofanikiwa sana ni wale ambao ana biashara moja successful kisha akaanzisha nyengine 😅😅😅 hawa kuanguka sio rahisi sababu hata sehem ikihitajika support biashara isiyumbe ana hela za faida anachota kule na kuweka huku mpaka inasimama yani!Duh Kaka Mimi nakumbuka ilikuwa 2012..aisee Bora ningechukua viwanja tu..biashara Bila busta Ni kupoteza muda tu
Mie pia nilishafanya biashara ambayo inataka regular improvements! Ilikuwa mini bar nikaweka almost 3 millions! Ilikuja kunifia ile biashara acha tu 😂 sikuamini! Ilifika stage mtu anataka safari unachukua creti la Klimanjaro na kwenda kubadilisha dukani 😂😂😂mkuu katika hili watu wanaofanyikiwa ni wachache sana, wengi tunaangukia pua
Wanaongeaga kirahisi sana aisee! Maumivu yake kwa tuliowahi kujaribu business tunayajuaYeah man,vinginevyo kila mtu angekuwa tajiri.Kuanza biashara from the scratch inahitaji kujikana..Nilipoteza mitaji awamu mbili..awamu ya tatu ndipo nikasimama.
Kwa mtu mwingine angekufa na stroke,nakumbuka mtaji wangu wa awamu ya pili niliupata kwa shida mnoo,nilidunduliza almost a year lakini ukapotea within a month.
Nilikuwa nalala sipati usingizi,ninaiwazia ile pesa..nkaanza upya baada ya mwaka ndipo nikasimama.
Watu waelewe kujiajiri sio kimbilio la kukosa ajira..kuna maumivu makali mnoo tunapitia kabla ya kusimama.
Hatari sana Kaka..,Halafu anatokea mpuuzi mmoja anasema vijana mjiajiri 😅 mie sina background yoyote ya biashara najiajiri vipi?
Tatizo ni una manage vipi biashara wala hata mtaji sio kitu maana unaweza anza hata na elfu 50 ukafika mahali pa kueleweka tu!Hatari sana Kaka..,
Just for curiosity mkuu...disposable income nzuri ni kuanzia shingapi??Biashara lazma uwe na kipato cha ziada yani ndio maana ukichunguza wanaofanikiwa sana ni wale ambao ana biashara moja successful kisha akaanzisha nyengine hawa kuanguka sio rahisi sababu hata sehem ikihitajika support biashara isiyumbe ana hela za faida anachota kule na kuweka huku mpaka inasimama yani!
Au mtu mwenye kazi nzuri ambayo ina disposable income ya kutosha akianzisha biashara ni mara chache sana kufa kama anaifatilia kwa umakini! Sababu ikitaka maboresho hela ipo! Mpaka inasimama vizuri na kuanza kujiendesha na kujilipa yenyewe ila graduate mpe duka la million 3 tu kisha asiwe na extra ale hapo hapo na nauli uone kama itamaliza mwaka shelf hazijabakia wazi!
Kwangu mie kazi ambayo inakupa angalau uwezo wa kusave atleast 500K kwa mwezi iko vizuri kwa maisha yetu ya kibongo bongo! Ina maana ndani ya miezi 6 walau unaweza kusave 3MillionsJust for curiosity mkuu...disposable income nzuri ni kuanzia shingapi??