Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

Yaani watu wote wamesema "shukuru vinginevyo usingekuwa na MARINDA"
Mbona sijaona mtu akisema shukuru labda ungepelekwa POLISI, UNGEUWAWA kwenye fumanizi maana haya yanatokea sana.
Hii ni kumaanisha kuwa tumekuwa polluted kiasi cha kuhalalisha ukifumaniwa ni kuingiliwa kinyume na maumbile?
 
Mi nilidakwa live , nikawa mpole kabisa , jamaa akabugi maana mwanamke waliachana mwaka mzima akaja kunivizia uck namla , akataka fidia ya milion 1.3 mzee nikakubali kubali kuandika ...... Nikamwambia asubuhi nitampa ... Pamekucha asubuhi nikaenda mahakamani nikachonga mchongo mwanamke akapata TARAKA halafu ikarudishwa tarehe nyuma ... Nikamyokea jamaa simu sikulipi hela fanya vyovyote akakimbilia kufumgua kesi ya kudai fidia ya uogoni .,. Mbn nilimshinda mahakamani akaonekana alikuja kufanya fujo na alidharirisha na mke akawa kamkosa , na vitu wakagawana rasmi na yule mwanamke !! Nilipanga kumuowa na niliishi naye ila hatukudumu , kwa sasa kaolewa tena na mwanaume mwingine ila nilichojifunza usipokuwa jasiri kwenye ugoni lazima upakwe mafuta matakoni ... Ni heri uahidi uongo halafu mtaenda mahakamani mtayamaliza

sent from HUAWEI

Hauwezi kupata mahakamani talaka ya hivyo kwa Siku moja. Tusiwe waongo hivyo!
 
kuna pahala niliwahi safiri nikakutana pisi kali nikaipanga ikajaa, nikampa location ya lodge nilipo akawa anakuja kunifariji, kumbe alikua mke wa mtu na mumewe yupo safari...

kuna washenzi walimpigia simu mumewe akaja kimya kimya, mishale ya 3 usiku sim ya pisi ikawa inapigiwa sana hapokei mwisho nikamwambia itoe sauti akaitoa...

kumbe yule bwana yupo nje na alipga sim ajue tupo chumba gani, baadae tuligongewa hodi sana bt hatukufungua, yule bwana akawa anasema ka hamtaki kutoka napga sim police, dah! nilijawa woga kweli ikabidi nifungue liwalo na liwe.

baada ya kutoka jamaa akawa akawa anadeal na mkewe na hapo ndo nilipata upenyo wa kuchomoka, wadada jifunzeni kua wakweli kama mmeolewa ili msiwasababishie matatizo watu wasohatia.
Eti watu wasio hatia!acha hiyo kitu utakuja kukatwa shingo...
 
Just for experience na majuto kama yapo.

Mimi sikudakwa ila niliponea chupchup,jamaa alichelewa kama sekunde 50 hivi. Ogopa sana mwanamke mwenye gari.

Huyu dada alikuwa mchepuko kwa takribani mwaka hivi. Alikuwa huru sana muda wowote yupo available na mimi kuona hivyo nikajiongeza kwamba atakuwa single mother. Dada mzuri na mtoto mmoja. Kumbe alikuwa mke wa mtu mumewe akiishi mbali. Hakuwahi kuniambia.

Basi kumbe siku hiyo mumewe siku hiyo alikuja kushiriki pamoja sherehe ya harusi ya rafiki wa familia.

Yule dada alikuwa amekolea mpaka nikawa naogopa,huyu atakuja kuniharibia ndoa yangu. Basi bwana siku hiyo ya harusi akaniambia ameni miss kinyama anataka hata nimkumbatie tu moyo wake utulie (wanawake ni shida).

Saa tano usiku akanitext nitoke nje yupo na bajaji. Haikuwa kawaida yake kuja na bajaji mara zote hutumia gari ananipakia tunabaki humu hata masaa manne. Kumbe gari alimuachia mumewe kwenye harusi akamdanganya amechoka sana atangulie.

Alipofika nikachezwa machale,nikamwambia just a minute sijisikii vizuri,akaelewa nikaingia kwenye bajaji nikampiga kiss dakika 1 akaondoka. Baada ya dakika 2 gari yake ikapita pale tulipokuwa ikapaki kidogo na kuondoka. Kulikuwa na watu wengi maana ni eneo la lodge na bar.

Nikahisi hali ya hatari,baadae ile gari ikarudi ikakaa kama nusu saa hivi mimi nimebana sehemu naicheki.

Baada ya mtiti kutulia anakuja kunipa mkanda mzima. Kumbe siku hiyo aliyefuata nyuma ni mumewe akimfuatilia. Hata gari iliporudi walikuwa wote,walirudi baada ya kula kichapo akiamriwa ataje alikuwa na nani kwenye bajaji. Akanisimulia mumewe ni mtu wa maudhi sana,walivyokuwa kwenye harusi alimuudhi ikabidi aje kupoza machungu kwangu. Kwenye Mapenzi mazito kuna shetani,shetani wa kuwatia upofu

Kwa kweli wanawake ni majasiri sana. Tukae nao kwa akili.

Mliowahi kudakwa ugoni kazi kwenu kutiririka
mungu alikua nawe maana ungekamatika leo hii ungekua na alama sehem za mwili wako
 
Daaaa sijawahi fumwa live aiseee japo kuna mmoja alikuwa demu wangu zamani kabla hajaolewa baada ya kuolewa akaomba tuendelee na game tukaendelea japo tulikuwa mikoa tofaut siku moja nimechat nae usiku mumewe kamfuma kampoka simu kasoma utumbo wote kwenye texts then kanipandia hewan biti kama lote sikulala sikuiyo ila wao walikuja kuyamaliza
 
Mi nilidakwa live , nikawa mpole kabisa , jamaa akabugi maana mwanamke waliachana mwaka mzima akaja kunivizia uck namla , akataka fidia ya milion 1.3 mzee nikakubali kubali kuandika ...... Nikamwambia asubuhi nitampa ... Pamekucha asubuhi nikaenda mahakamani nikachonga mchongo mwanamke akapata TARAKA halafu ikarudishwa tarehe nyuma ... Nikamyokea jamaa simu sikulipi hela fanya vyovyote akakimbilia kufumgua kesi ya kudai fidia ya uogoni .,. Mbn nilimshinda mahakamani akaonekana alikuja kufanya fujo na alidharirisha na mke akawa kamkosa , na vitu wakagawana rasmi na yule mwanamke !! Nilipanga kumuowa na niliishi naye ila hatukudumu , kwa sasa kaolewa tena na mwanaume mwingine ila nilichojifunza usipokuwa jasiri kwenye ugoni lazima upakwe mafuta matakoni ... Ni heri uahidi uongo halafu mtaenda mahakamani mtayamaliza

sent from HUAWEI
Noma sanaa
 
Yaani watu wote wamesema "shukuru vinginevyo usingekuwa na MARINDA"
Mbona sijaona mtu akisema shukuru labda ungepelekwa POLISI, UNGEUWAWA kwenye fumanizi maana haya yanatokea sana.
Hii ni kumaanisha kuwa tumekuwa polluted kiasi cha kuhalalisha ukifumaniwa ni kuingiliwa kinyume na maumbile?
Sababu Marinda ndo uanaume Wako huo. Ndo maana mtu akikufumania anataka akudhalilishe to the highest level. Na Hiko ndo PEKEE kinaweza mfanya mwanaume ajiue.
Polisi huko mtaishia kulipana hela tu.
Mfumanizi pia a napenda life. So kukuua wewe na Yeye hakumpi faida na wala anakuwa hajakuumiza wewe maana utakuwa umekufa. Na kukuua wewe a najua hata huyo mke wake ataomba talaka na atabanduliwa tu sehemu nyingine.
So. Marinda ndo kitu PEKEE cha kukuumia mwanaume.
 
Sababu Marinda ndo uanaume Wako huo. Ndo maana mtu akikufumania anataka akudhalilishe to the highest level. Na Hiko ndo PEKEE kinaweza mfanya mwanaume ajiue.
Polisi huko mtaishia kulipana hela tu.
Mfumanizi pia a napenda life. So kukuua wewe na Yeye hakumpi faida na wala anakuwa hajakuumiza wewe maana utakuwa umekufa. Na kukuua wewe a najua hata huyo mke wake ataomba talaka na atabanduliwa tu sehemu nyingine.
So. Marinda ndo kitu PEKEE cha kukuumia mwanaume.
Hata unifumanie na mkeo hiko kitu hakitawezekana. Na ili isiwezekane ama zako ama zangu, na mpaka imefikia stage hii basi intelligence yangu ya kumpeleka mkeo mahali salama imefeli. Na nikigundua kuna uwezekano wa kufail nahairisha issue nikijipanga kivingine. From the top to down
 
2017,mdogo wenu Kilwa94 almanusura nidakwe na shemeji yenu.Ipo hivi nilivusha mchepuko home wakati huo shemeji yenu mkubwa(mchepuko wa kudumu) alikuwa kazini,basi bana kumbe majirani waliniona wakati navusha hivyo wakamtaarifu shemeji yenu(mchepuko wa kudumu) ambaye alikuwa zake huko town kazini.Basi bana mi sijui hili wala lile nipo bize na mtoto wa watu tunakula mate huku namchomoa nguo moja moja.Mara nasikia mlango unagongwa,nikaenda kufungua nikamkuta shemeji yenu mkubwa kafura,macho mekundu..!

Akili ikanambia "mpishe apite,aingie ndani" nikampisha dada wa watu huyo mbiombio hadi chumbani,alitumai atakutana na yule demu kule chumbani kumbe la hasha! mi na mchepuko tulikuwa tumefikia sebureni na hapo ndio tulikuwa tunaanza kuandaana then twende chumbani kunako 6x6 kwaajili ya 'kukobatana'.Alipo ingia chumbani tu mzee nikamfata kwa nyuma,nikamfungia mule chumbani halafu nikamtoa mchepuko niliyekuwa naye mbio mbio,ijapokuwa majilani walimuungia ila hawakumkamata. hapa nilitumia mbinu ya kijeshi! Na hiyo ndio ilikuwa ponapona yangu ya kukamatwa ugoni(kufumaniwa).
 
Back
Top Bottom