ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,042
- 49,723
Usipmbe udisco chuo hasa kama wewe ndio kiongozi wa familia
Kiufupi sijawahi kua na historia ya kufeli toka primary ila kufaulu tena kwa daraja la kwanza O level&A level.Baada ya kujiunga chuo mlimani 2010/11 kwa kozi ya B.A.Economics nilifurah na kua proud of kwa kujiunga na kozi niliyoipenda na chuo kinachopendwa na wengi
Harakati za masomo zikaanza na upande mwingine siasa zilipamba moto miaka hiyo chuoni,akina Shonza,Hapi,Al shababu na wengine wengi.Kila uchaguzi wa daruso au mambo ya boom kulikua na kambi mbili za uvccm na bavicha zinashindana revo.square.Nikawa trapped na kupenda sana siasa hadi mala ya mwisho tulisotea sana na kesi kule central baada ya police kutukamata pale survey kwenye maandamano.Hayo ni baadhi tu ya matukio mengi ya kisiasa yaliyokua yanafanyika miaka hiyo 2010-2012,Kawambwa akiwa waziri wa elimu anajua vizuri
Nikaanza kuyumba kwenye matokeo makalai na Sapp zikawa zinaninyemelea,mbaya zaidi ukiacha kushiriki matukio ya kisiasa ndani na nje ya chuo nilikuja kushuka sana molari ya kusoma na kuichukia kozi ya ndoto zangu,sababu nilikua nikisoma magazeti library sioni ajira zinazohusiana na kozi ya uchumi nikawa nahisi nimepotea.Mwisho wa siku nikajikuta nabipu kusoma huku mda mwingi kwenye matukio ya kisiasa,magazeti ya siasa hasa mawio,na nikaanza kunyemelea mafunzo ya motivational speaker wa biashara hasa za mtandao.Slogan yangu mpya ikawa ni GPA haiwezi kunitoa.
Nikiwa Field ofisi za ESRF kijitonyama kucheki Aris second semester mwaka wa pili nimedisco kwa gpa ya 0.7,nilipata shoku lakini nikawa resilient fast nikawa nikawa nafikiria nini Cha kufanya huko nikisema ntaanzaje kumueleza mzee,nikaondoka field bila kumaliza
Nikaondoka kwenda Swax japo sio kwetu ila kuanza maisha,nikakaa wiki nikamweleza bro akamweleza mdingi aisee ilikua kasheshe,hapo ndo nikajua uchungu wa mwana aujuae mzazi.Nikatulia naunga unga kazi za zege swax Kama mwezi wakacool down nikarudi home,baada ya hapo wakanitafutia chuo Cha diploma ya civil engineering mwanza nikapiga miaka 2 by 2014 nikamaliza
Bahati nzuri nikapata kazi ya serikali 2016 baada ya kuunga unga kwa wakandarasi,after two yrs nikaona bachelor tena ya Building Economics Ardhi ndo naendelea nayo hadi sasa,bado napenda Uchumi thus why username yangu ni ChoiceVariable
Nimejifunza kwamba ukiwa chuo achana na hadithi nyingine focus kwa ishu uliyoendea na Jenga tu network na wenzako.
Kiufupi sijawahi kua na historia ya kufeli toka primary ila kufaulu tena kwa daraja la kwanza O level&A level.Baada ya kujiunga chuo mlimani 2010/11 kwa kozi ya B.A.Economics nilifurah na kua proud of kwa kujiunga na kozi niliyoipenda na chuo kinachopendwa na wengi
Harakati za masomo zikaanza na upande mwingine siasa zilipamba moto miaka hiyo chuoni,akina Shonza,Hapi,Al shababu na wengine wengi.Kila uchaguzi wa daruso au mambo ya boom kulikua na kambi mbili za uvccm na bavicha zinashindana revo.square.Nikawa trapped na kupenda sana siasa hadi mala ya mwisho tulisotea sana na kesi kule central baada ya police kutukamata pale survey kwenye maandamano.Hayo ni baadhi tu ya matukio mengi ya kisiasa yaliyokua yanafanyika miaka hiyo 2010-2012,Kawambwa akiwa waziri wa elimu anajua vizuri
Nikaanza kuyumba kwenye matokeo makalai na Sapp zikawa zinaninyemelea,mbaya zaidi ukiacha kushiriki matukio ya kisiasa ndani na nje ya chuo nilikuja kushuka sana molari ya kusoma na kuichukia kozi ya ndoto zangu,sababu nilikua nikisoma magazeti library sioni ajira zinazohusiana na kozi ya uchumi nikawa nahisi nimepotea.Mwisho wa siku nikajikuta nabipu kusoma huku mda mwingi kwenye matukio ya kisiasa,magazeti ya siasa hasa mawio,na nikaanza kunyemelea mafunzo ya motivational speaker wa biashara hasa za mtandao.Slogan yangu mpya ikawa ni GPA haiwezi kunitoa.
Nikiwa Field ofisi za ESRF kijitonyama kucheki Aris second semester mwaka wa pili nimedisco kwa gpa ya 0.7,nilipata shoku lakini nikawa resilient fast nikawa nikawa nafikiria nini Cha kufanya huko nikisema ntaanzaje kumueleza mzee,nikaondoka field bila kumaliza
Nikaondoka kwenda Swax japo sio kwetu ila kuanza maisha,nikakaa wiki nikamweleza bro akamweleza mdingi aisee ilikua kasheshe,hapo ndo nikajua uchungu wa mwana aujuae mzazi.Nikatulia naunga unga kazi za zege swax Kama mwezi wakacool down nikarudi home,baada ya hapo wakanitafutia chuo Cha diploma ya civil engineering mwanza nikapiga miaka 2 by 2014 nikamaliza
Bahati nzuri nikapata kazi ya serikali 2016 baada ya kuunga unga kwa wakandarasi,after two yrs nikaona bachelor tena ya Building Economics Ardhi ndo naendelea nayo hadi sasa,bado napenda Uchumi thus why username yangu ni ChoiceVariable
Nimejifunza kwamba ukiwa chuo achana na hadithi nyingine focus kwa ishu uliyoendea na Jenga tu network na wenzako.