WHY NOT USE - THE CENT?
Kwa ambao tumeweka real money on the line, nina uhakika tunajua zile feelings inapotokea tunakatazama ka akaunt ketu ndo kanaelekea kuungua... Wahuni wanasemaga "BADAMU BANAMWAGIKA"...
Kuna kila hisia unazipata... Unatamani uvunje simu, uzime data, urudishe muda nyuma hafu usifungue hzo position, unatamani broker akuonee huruma, mana kamtaji ulikopa... And on extreme situations, unatamani uikamate candle uishushe, kama ulisell, au uipandishe kama ulibuy....
Trust me, you are not alone. Hisia kama hz kila mtu anazipata, na zinakuwa mbaya zaidi kama hatuna uelewa hata kidogo wa trading psychology...
Lakini, unaweza kujiandaa, kuzishinda hisia hz kama tu utajiandaa mapema, kabla ya kuanza kutrade na real account.
Brokers waliweka demo accounts ili watu wajifunzie kutrade, lakini it doesnt make sense kutumia demo kwa muda mrefu then kwenda direct kwa real akaunt, why?
Katika market kuna watabe wanaitwa Market Makers, hawa wapo ili ukiloose wapige hela(huu ndo ukweli mchungu), lakini, what if ukaloose $20000 kwa demo? Wanapata sh ngapi? Hawapati hata shilingi. Ila ukiloose $2 kwa real wanapata $2, na kama kuna traders 100 walioloose $2 ..... You do the maths...
Hii ndiyo inayotupa ugumu unapotumia demo na kuhamia real, mazingira yanabadilika kabisa... Kuna kutanua spreads, kuna fakeouts, kuna wicks kwa Stop hunt na mengine mengi "mazuri"
ambayo huyapati kwa demo...
Njia pekee ya kucheza na mazingira ya real account, pasipo kurisk kiasi kikubwa cha pesa ni kutumia cent accounts...
Hizi ni akaunt zinazotumia real money na hawa jamaa wanachezaga nazo kama kawaida.
Kuna broker wengi wanao offer cent accounts, ninaowafahamu ni FBS -
FBS - online broker on the Forex market na Templer -
https://templerfx.com
Kwa templer (
https://templerfx.com) deposit ya 1$ inasoma 100 kwa akaunt ya MT4 na $1 ni 2295 tu.
Kama wewe ni Newbie kabisa, badala ya kuanza na demo, anza na cent account... Ili uweze kuzizoea emotions utakazokutana nazo wakati utakapoenda real standard account, kwa sababu humo utatia mpunga na ukakosea analysis, utaona kabisa kabuku tatu kanavyoteketea...
Usisahau, kusoma Trading Psychology Books...
All the best!