simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,496
- 1,219
Wale wa boarding school wazee WA kupiga basti
Bidya yupi. Maana nasi wahenga tulisoma na Augustino BidyaBidya alifariki
Hehe Maghembe katukuta pale tukamfundisha fundisha mazingira... Mtangulizi wake alikua Mwingira alihamishwa baada ya kushindwa kui-control shule kwa migomo... Naukumbuka sana mgomo wa 2004 Ilikua hatari!!!Aisee nyie wahanga kweli bas mim mtoto wenu maana Mkuu wa sasa ni Charles Maghembe... Shikamoo
Dah.. Kweli mkuu ila ni shule nzuri najivunia kusoma pale..Hehe Maghembe katukuta pale tukamfundisha fundisha mazingira... Mtangulizi wake alikua Mwingira alihamishwa baada ya kushindwa kui-control shule kwa migomo... Naukumbuka sana mgomo wa 2004 Ilikua hatari!!!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 dah kulandeya ...mwili mdogo lkn ana biti balaaNiko nakimbizwa na Kulandeya kanikuta natoka kamala, imebidi nipitilize fork ... Gogwa sijui atanitafuta kesho daah!!
huyu jamaa nilifuata cheti changu cha form 4 nlichaguliwa chuo 2010...akanambia hawez kunipa cheti...nikamplease lkn akakataa kunipa ..kila nikienda kgm sec naishia kufukuzwa tu.....kuna mwalimu alikuwa anaitwa bilantanye alikataa kusign clearance kabisa...ikabaki sign yake tu ...sidaiwi lkn akakataa kusign.....nikaona isiwe tabu nikatuma clearance na malalamiko yangu necta kwa fax...kwamba wamekataa kunipa cheti napata mashaka wameuza cheti changu.....aisee nlishangaa baada ya wiki kanipigia simu anaongea kistaarabu nikachukue cheti changuHehe Maghembe katukuta pale tukamfundisha fundisha mazingira... Mtangulizi wake alikua Mwingira alihamishwa baada ya kushindwa kui-control shule kwa migomo... Naukumbuka sana mgomo wa 2004 Ilikua hatari!!!
Aisee Jamaa wazinguaji sana hawa wakati mwingine...huyu jamaa nilifuata cheti changu cha form 4 nlichaguliwa chuo 2010...akanambia hawez kunipa cheti...nikamplease lkn akakataa kunipa ..kila nikienda kgm sec naishia kufukuzwa tu.....kuna mwalimu alikuwa anaitwa bilantanye alikataa kusign clearance kabisa...ikabaki sign yake tu ...sidaiwi lkn akakataa kusign.....nikaona isiwe tabu nikatuma clearance na malalamiko yangu necta kwa fax...kwamba wamekataa kunipa cheti napata mashaka wameuza cheti changu.....aisee nlishangaa baada ya wiki kanipigia simu anaongea kistaarabu nikachukue cheti changu
Aisee Jamaa wazinguaji sana hawa wakati mwingine...
Nadhani walipigwa mkwara na Necta, Msalimie Jilala Mzee wa wa Kupasua
[emoji125] [emoji125]
Hopeful umeuza sana nyama sukari na mchele kamaraDah.. Bonge la mpish bado yupo afu nilikua foódleader pale
Shule aliyosoma jiran yangu,ni kweli zawani ilikuwa ikiiitwa livingstone sec? Msaada wakuu
Bilantanya bado yupo sema siku hizi hana shida walishaacha kuzingua sana... Ndio mwl wa physics form 5huyu jamaa nilifuata cheti changu cha form 4 nlichaguliwa chuo 2010...akanambia hawez kunipa cheti...nikamplease lkn akakataa kunipa ..kila nikienda kgm sec naishia kufukuzwa tu.....kuna mwalimu alikuwa anaitwa bilantanye alikataa kusign clearance kabisa...ikabaki sign yake tu ...sidaiwi lkn akakataa kusign.....nikaona isiwe tabu nikatuma clearance na malalamiko yangu necta kwa fax...kwamba wamekataa kunipa cheti napata mashaka wameuza cheti changu.....aisee nlishangaa baada ya wiki kanipigia simu anaongea kistaarabu nikachukue cheti changu