Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

Wapi mamii mtaalam wa kupika ubwabwa na kitu cha layer ya mawese r.i.p Mzee Ngusa . mademu wa kamara wachafu ila watam balaa haha
Dah.. Bonge la mpish bado yupo afu nilikua foódleader pale
 
Hapo sawa ila rudi nyuma kdg. Headmaster akiwa Mazigo na second master akiwa Chaka
Aisee nyie wahanga kweli bas mim mtoto wenu maana Mkuu wa sasa ni Charles Maghembe... Shikamoo
 
Aisee nyie wahanga kweli bas mim mtoto wenu maana Mkuu wa sasa ni Charles Maghembe... Shikamoo
Hehe Maghembe katukuta pale tukamfundisha fundisha mazingira... Mtangulizi wake alikua Mwingira alihamishwa baada ya kushindwa kui-control shule kwa migomo... Naukumbuka sana mgomo wa 2004 Ilikua hatari!!!
 
Hehe Maghembe katukuta pale tukamfundisha fundisha mazingira... Mtangulizi wake alikua Mwingira alihamishwa baada ya kushindwa kui-control shule kwa migomo... Naukumbuka sana mgomo wa 2004 Ilikua hatari!!!
Dah.. Kweli mkuu ila ni shule nzuri najivunia kusoma pale..
 
Hehe Maghembe katukuta pale tukamfundisha fundisha mazingira... Mtangulizi wake alikua Mwingira alihamishwa baada ya kushindwa kui-control shule kwa migomo... Naukumbuka sana mgomo wa 2004 Ilikua hatari!!!
huyu jamaa nilifuata cheti changu cha form 4 nlichaguliwa chuo 2010...akanambia hawez kunipa cheti...nikamplease lkn akakataa kunipa ..kila nikienda kgm sec naishia kufukuzwa tu.....kuna mwalimu alikuwa anaitwa bilantanye alikataa kusign clearance kabisa...ikabaki sign yake tu ...sidaiwi lkn akakataa kusign.....nikaona isiwe tabu nikatuma clearance na malalamiko yangu necta kwa fax...kwamba wamekataa kunipa cheti napata mashaka wameuza cheti changu.....aisee nlishangaa baada ya wiki kanipigia simu anaongea kistaarabu nikachukue cheti changu
 
huyu jamaa nilifuata cheti changu cha form 4 nlichaguliwa chuo 2010...akanambia hawez kunipa cheti...nikamplease lkn akakataa kunipa ..kila nikienda kgm sec naishia kufukuzwa tu.....kuna mwalimu alikuwa anaitwa bilantanye alikataa kusign clearance kabisa...ikabaki sign yake tu ...sidaiwi lkn akakataa kusign.....nikaona isiwe tabu nikatuma clearance na malalamiko yangu necta kwa fax...kwamba wamekataa kunipa cheti napata mashaka wameuza cheti changu.....aisee nlishangaa baada ya wiki kanipigia simu anaongea kistaarabu nikachukue cheti changu
Aisee Jamaa wazinguaji sana hawa wakati mwingine...

Nadhani walipigwa mkwara na Nectar, Msalimie Jilala Mzee wa wa Kupasua

 
huyu jamaa nilifuata cheti changu cha form 4 nlichaguliwa chuo 2010...akanambia hawez kunipa cheti...nikamplease lkn akakataa kunipa ..kila nikienda kgm sec naishia kufukuzwa tu.....kuna mwalimu alikuwa anaitwa bilantanye alikataa kusign clearance kabisa...ikabaki sign yake tu ...sidaiwi lkn akakataa kusign.....nikaona isiwe tabu nikatuma clearance na malalamiko yangu necta kwa fax...kwamba wamekataa kunipa cheti napata mashaka wameuza cheti changu.....aisee nlishangaa baada ya wiki kanipigia simu anaongea kistaarabu nikachukue cheti changu
Bilantanya bado yupo sema siku hizi hana shida walishaacha kuzingua sana... Ndio mwl wa physics form 5
 
Back
Top Bottom