DMCT
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 2,276
- 5,942
Wakuu, habar za majukumu, nawakaribisha wana jf wenzangu wote tulipita pale Kigoma sekondari tukumbushane mazuri na karaha za pale shule... Kwa ufupi kigoma sec utakutana na misemo maarufu kama kupuliza, kizigo, kadebra,manual work, pamoja na carribian... Nawasilisha hapa jitupori atakua mstari wa mbele... Mpaka natoka pale kulikua na vikundi vya kupatia cha kula huku mkijadili masuala mbalimbali kama michezo,siasa,elimu na mambo mengine... Maarufu ni Supersport,Hot Spears,Mwarobaini,na Mapenzi na Ndoa...