qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Kwa Barclays LG kazi yake kubwa ni kutafuta wateja wa persönal/consumer loans na wateja wa kufungua a/c so its more or less like direct marketing for the bank's products na hauwi permanent employee rather an agent of the bank and u get paid commission kadri ulivyouza products. Tafuta viatu vyenye soli ngumu coz utatembea mno na omba Mungu usiishie kupa 50,000 kwa mwezi kama wengi wa hao LG wanavyopata. Kila la heri
Ni ngumu balaaa ila wapo wanaofanya vizur wans miaka zaid ya 5 pale ma sikuiz wanapewa elfu 70 kama haujafanya kazi kabisa na ukiendelea kutofanya kaz unafukuzwa.