Tuliopata barclays bank lead generator

Tuliopata barclays bank lead generator

Ni kazi ngumu sana kulinganisha malipo yake.Security ya kazi ni ndogo sana tena ni mkataba unaotegeme utendaji kazi
 
Ni kazi ngumu sana kulinganisha malipo yake.Security ya kazi ni ndogo sana tena ni mkataba unaotegeme utendaji kazi

Acha kuwavunja moyo ngumu ukiwa mvivu ukiwa mchapa kazi inalipa sana kuliko hata wale ma teller na managers.
 
Acha kuwavunja moyo ngumu ukiwa mvivu ukiwa mchapa kazi inalipa sana kuliko hata wale ma teller na managers.
Kivipi? Embu nidadafulie apo inawezekanaje hii position ya chini kabisa ilipe kuliko hata managers? Kwan income yake inarange ngap kwa hao unaowaita wachapa kazi?
 
Kivipi? Embu nidadafulie apo inawezekanaje hii position ya chini kabisa ilipe kuliko hata managers? Kwan income yake inarange ngap kwa hao unaowaita wachapa kazi?

Sio fixed the more the income you generate the more the income u get and vice versa ni kazi ya loan officers bt wanaiita kwa jina hilo.
 
Kivipi? Embu nidadafulie apo inawezekanaje hii position ya chini kabisa ilipe kuliko hata managers? Kwan income yake inarange ngap kwa hao unaowaita wachapa kazi?

Hakuna maximum amount hata mil 10 utalipwa bt ukiiingiza 1 bilioni kwny bank per month.
 
Kikwete na Barclays wapi na wapi ile inaendeshwa kwa matakwa ya ya Barclay Group Africa na sio huyo rais wenu,wanaajiri wanapo jisikia wao sio serikali ya tz.

Kwani wewe raisi wako ni nani?
 
Bado subirini mtaitwa tu.na training bado labda wiki ijayo au wiki linalofata wanawataka wengi tu na anaye taka km hajaomba aombe au apeleke cv yake kwa mkono pale branch yao ya Morroco mlipofanyia interview na hao anaosema wa zanzibar au arusha sio kwa post hiyo labda nyingine.

Habari!
Bado wanahitaji watu wa post zipi? Kama tunataka kutuma application tuna address kwa nani?
 
Kikwete na Barclays wapi na wapi ile inaendeshwa kwa matakwa ya ya Barclay Group Africa na sio huyo rais wenu,wanaajiri wanapo jisikia wao sio serikali ya tz.

Hata hizi wanasiasa wanazijengea mazingira kwamba nazo ni zao na watapamba maneno kwamba wamejenga mazingira mazuri ya uwekezaji kiasi kwamba bank ikaona iongeze matawi yake, chezea siasa wewe, all in all hongera kwa wale waliopata kazi enendeni mkapige kazi huko
 
Ni kazi ngumu sana kulinganisha malipo yake.Security ya kazi ni ndogo sana tena ni mkataba unaotegeme utendaji kazi
Mkuu palipo na changamoto nyingi ndipo penye mafanikio, acha makamanda wakajaribu bahati yao usiwavunje moyo kwani huo ugumu wa kazi ndio utawajenga mwisho wa siku utawapa chachu ya kutafuta kazi nyingine nzuri zaidi ya hiyo. Siku zote lazima tukubali tu kwamba hata mambo ambayo kwa jicho la kawaida tunayaona mabaya lakini kwa wakati mwingine ukiyatafutia majawabu mambo yako yatakuwa poa na ndio maana ukipata boss mkorofi usimchukie kinachotakiwa ni kuweka way forward
 
Habari!
Bado wanahitaji watu wa post zipi? Kama tunataka kutuma application tuna address kwa nani?

Hizo hizo za u lead generator adress angalia kwenye web yao au ukipeleka by hand hata hamna shda ht usipoandika adress
 
Kila la kheri mlio pata ila kazi ila kama una kazi nyingine usiache kisa hiyo kaz utakuja jilaumu sana maana sio permanent km ni jobless poa.
 
Hizo hizo za u lead generator adress angalia kwenye web yao au ukipeleka by hand hata hamna shda ht usipoandika adress
Asante, ila lead generator ni kazi inayohusu nini? Ndio naisikia mara ya kwanza. Tafadhali ni brief...
 
Kama loan officer tu kwa bank nyingine ni watu wanaouza loan kwa wateja but ni employed tu sio selfemployed km benki nyingine mf akiba,finca,access n.k
Wait, what do you mean by employed and selfemplyoed hapo kwenye maelezo yako?
 
Kwa Barclays LG kazi yake kubwa ni kutafuta wateja wa persönal/consumer loans na wateja wa kufungua a/c so its more or less like direct marketing for the bank's products na hauwi permanent employee rather an agent of the bank and u get paid commission kadri ulivyouza products. Tafuta viatu vyenye soli ngumu coz utatembea mno na omba Mungu usiishie kupa 50,000 kwa mwezi kama wengi wa hao LG wanavyopata. Kila la heri
 
Wait, what do you mean by employed and selfemplyoed hapo kwenye maelezo yako?

Employed ni mikopo kwa wafanyakazi walio ajiriwa tu hawakopeshi wafanya biashara ambao ni selfemployed kama bank nyingine wanavyofanya.
 
Back
Top Bottom