Tulionao tumekosea, michepuko ndio chaguo halisi

Tulionao tumekosea, michepuko ndio chaguo halisi

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Ukiona una mchepuko na mnaelewana ingawa anajua umeoa au umeolewa na yupo radhi kuendana na wewe according to hisia zenu ujue mchepuke ndo alikufaa si uliye naye.

Michepuko huwa mnapokutana kila mtu anafurahi kuwa na mwenzake na kurudi nyumbani unaona ni bughda,ila unapokuwa pamoja na mchepuko unasahau shida zote,wapo michepuko yaani hata mcheze game bila msosi vinywaji au kupigwa mizinga wanafurahia uwepo ule wa kuwa pamoja.


Unakuta mchepuko ndo anakuonea huruma familia yako inavyokutesa,anaogopa kufumaniwa ili kuvuruga familia yako na mna make sure hamkamatwi.

Mchepuko uliyemweleza ukweli unamsave jina la kiume au la kike,ukiwa na mpenzi wako unachat na mchepuko mnaongea kwa codes kama "niaje mshikaji wangu,aisee Leo hatuendi bata nipo na baby,...naye anaelewa."

Mchepuko ndo anakupa furaha kuliko mwenza wako.

Michepuko ndo chaguo ila basi tu tunaangukia pabaya
 
Its true kwa 75%, iliyobaki ni mchepuko kukupenda kwa factors nyingine kama: Upweke, Kukulia timing ili akuumize kwa muda muafaka, Kutaka kumkomoa ulienae n.k
 
Mchepuko amesambaratisha family ya mtu wangu wa karibu na mpaka sasa nikiwaza huwa napata na huzuni kubwa. Jamani short term pleasure isiwafanye ikawaharibia lifetime happiness.

Hatareee
 
Viol

Ukifanya chaguo baya lazima utaangukia kwenye mchepuko mtamu maana utakuwa umejifunza na kujua kosa. Ni wachache wasiojua kosa lililofanyika mwanzo ndio hupata mchepuko bomu zaidi ya wa ndani. Raha sana ukimpata wako wa kufanana naye ndiyo maana michepuko mingi huwa zaidi ya mke!!

Fight for your happiness chagua kinachoendana nawe mapemaaaa! la sivyo utaishia kuchepuka!
 
Last edited by a moderator:
Mchepuko amesambaratisha family ya mtu wangu wa karibu na mpaka sasa nikiwaza huwa napata na huzuni kubwa. Jamani short term pleasure isiwafanye ikawaharibia lifetime happiness.

Hatareee

Unaoana na wrong person halafu mchepuko anakupa faraja,sema huyo jamaa yako kakutana name wrong mchepuko
 
Back
Top Bottom