Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,495
- 113,592
Duh...!, kumbe siku hizi humu jf kuna muongozo wa namna ya kuchangia?!, mtu akipandisha bandiko lina hoja kumi lazima uzijibu hoja zote 10?. Uki zero in kwenye eneo fulani unaulizwa kwanini hukuchangia kuhusu hili na lile?.Umeacha hoja za msingi za namna ya kujikinga na kuelimishana
Wewe umewaza lockdown tu na hiyo categorization yako
Bandiko lilikuwa na hoja nyingi mimi nika zero in eneo ninaloweza kuchangia, sasa kumbe nilitakiwa kuchangia kuhusu
- biashara kariakoo kwa kuijengea sepcials zones
- wilaya zote na kuwa na utaratibu maalum wa nyakayi za biashara na kupunguza sababu za kila mtu kwenda kariakoo
- Mass testing
- Case identification kupitia local authorities
- na namna ya kusaidiana kupitia watendaji
P