ngebo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 1,679
- 2,105
Chukua time boya wwKama upo udsm na hujui bas utakuwa unashinda bar...mbona majina yapo waz
Chukua time boya wwKama upo udsm na hujui bas utakuwa unashinda bar...mbona majina yapo waz
Hahaaaa tafuta tusi jipya mkuu ...hilo nimeshalizoea ...Chukua time boya ww
Ulichaguliwa course gani mkuu?Kwa wale tulio ahilisha masomo Kwa kukosa mkopo ,tukutane apa, tushauriane cha kufanya tutakapo omba mkopo mwakani
Asa umenkosea heshima ndomana, mi chuo niko bize sina mda wa kwenda izo cafe 1 na 2 thats why nkakuuliza af na we jamaa ukasema nashunda baaHahaaaa tafuta tusi jipya mkuu ...hilo nimeshalizoea ...
Mkuu continous wametoa majina pia. Kuna kipnd CCM walitangaza kusaidia waliokosa mikopo. Hivyo wakashauri waombe kuptia ofis zao kwenda heslb. Watu wakaomba na wamepata17 kati ya20 toka chuo cha kodiMkuu mimi mwenyewe uhakika ninao, mtu wa board kabisa ndio ameniambia kwamba continuous kupata ni a gamble , anyways kama mpaka sasa hivi haujapata bado kwenye allocation status inaandika ukate rufaa, hiyo ni kwa wote waliokosa , sasa je kwahiyo hayo majina yakitoka unataka kuniambia hiyo status itapotea?
Sio kweli..kuna jamaangu mwakajana alikosa akarudi home mwaka huu kaomba kapata 100%Ukishakosa first year huwezi pata tena ukiomba ni ndoto nina rafiki yangu alikosa ,akaomba tena akaeka hadi vyeti vya vifo vya wazazi akanyimwa, na mm pia ni mhanga ndio maana nakuambia ,iyo pesa ya kuapply bora uile tu heslb washenzi