Tuliofurahia maumivu ya Sabaya ndio tunaomlilia Mbowe na kuiingilia Mahakama

This thread is a round peg in a square hole. You cannot compare a thug to a just person.
 
Tunaujua udhaidu wa wafuasi wa chadema,huwa na kawaida ya kukimbia maswali magumu.
Labda ni kweli, lakini siyo maswali yako, mkuu Mkorinto! Sina nia ya kukushusha kwa vyovyote, Lakini kama walivyo Mataga wengi, Wewe ni mwepesi sana kichwani!
 
Labda ni kweli, lakini siyo maswali yako, mkuu Mkorinto! Sina nia ya kukushusha kwa vyovyote, Lakini kama walivyo Mataga wengi, Wewe ni mwepesi sana kichwani!
Nyumbu wengi mnaamini nyinyi pekee ndio wazito kichwani,huu nao ni ugonjwa mbaya.ndio maana wananchi wanawapuuza.
 
Aliyemshauri mama amkamate Mbowe akutamkia mema,kamuingiza mkenge.Amezungukwa na mafisi
 
Kulinganisha uonevu na Makosa Ni kukufuru mbele za Mungu. Mbowe Hana kosa Bali Sabaya amejaza Makosa Hadi darini hivyo acha watu waonyeshe hisia zao
 

Enzi za utoto na ujana wetu, mlio adimu wa ndege huyu ulikuwa kiashiria chema cha kuja mvua. Siku hizi sauti yake yasikika hovyo hovyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…