mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
- Thread starter
- #21
Mkuu pole Sana, nadhan tunashare experience moja, inauma utadhan Kuna kitu kinakereketa rohon, Cha msingi ni kupiga moyo konde , mwisho wa siku maisha lazima yasonge!Pole sana mtoa mada, iliwahi nikuta mimi nlimtanguliza hospitali private wiki nzima.
Cha kushangaza hadi anafika stage ya pili&mwisho Doctor anamwambia bado subiri,nlipokuja kufika nkakazia kiume nikawa mkali sana badaye shemeji yenu alikuja kujifungua ila mtoto alishachoka hadi akawa amekunywa maji machafu nliumia sana.
Haikupita muda mwanangu alifariki, sitokaa nisahau nlilia sana siku hio nlileta noma hadi coctor akasimamishwa kazi. Baada ya kagundua doctor alikuwa amebwia pombe kinaniumaga mpaka leo jembe langu nlishaliandalia na jina la Calvin kabisa.