Tulikutana mjini anataka ndoa

Tulikutana mjini anataka ndoa

pumbavu kabisaaa. mxiiiiiiieeew eti nina mtu wangu... wakat unamzoesha kuwa na ww hukujua kuwa una mtu wako... yan malaya wengine bhana... ndo ukome na Karma itakurudia ndo utajua na yy huyo dem ni mtu na anastahil mtu pia...huyo unaemuona mtu wako akikutenda.
 
pumbavu kabisaaa. mxiiiiiiieeew eti nina mtu wangu... wakat unamzoesha kuwa na ww hukujua kuwa una mtu wako... yan malaya wengine bhana... ndo ukome na Karma itakurudia ndo utajua na yy huyo dem ni mtu na anastahil mtu pia...huyo unaemuona mtu wako akikutenda.

mpeeeee anakumbuka shuka kumekucha
 
Nashukuru kwa ushauri, changamoto, harshly comments zenu wadau na kila aina ya response ila napenda kuwa taarifu kuwa tumefikia makubaliano. Tupo kwenye utekelezaji now
 
hata km ni mie nakomaa yan unipagaranyuee wee af useme baadae eti una mtu wako..kwan mie sio mtu?nyooooo
 
hata km ni mie nakomaa yan unipagaranyuee wee af useme baadae eti una mtu wako..kwan mie sio mtu?nyooooo

Kwanza mwanaume gani tatizo kama hilo unakimbiza vibarazani!!ndo ujue kujibeba ulivokua unamwita mkewangu ulitegemea nini...
 
Nashukuru kwa ushauri, changamoto, harshly comments zenu wadau na kila aina ya response ila napenda kuwa taarifu kuwa tumefikia makubaliano. Tupo kwenye utekelezaji now

Duuuh mpaka kukubaliana mmechungzana kwa mda gani ?? Maisha ya ndoa si ya kukurupuka kaka akili ya kuambiwa changanya na ya Kwak
Tamaa ya nyege isikufanye ukajuta maishani
 
Chalii wa ara tumekubaliana kuwa kaka na dada since last three weeks and she is gone to her homeland
 
Chalii wa ara tumekubaliana kuwa kaka na dada since last three weeks and she is gone to her homeland

dah...vibaya hvyo km mimi nisingekubali kuondoka hivihivi mpk nikivuruge na ww kwako ili next time uwe na adabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom