Tulikutana mjini anataka ndoa

Tulikutana mjini anataka ndoa

Kuna dada nilikutana nae mjini (bar) tukadate.

Nikahama mji akaja kunitembelea Hataki kutoka.

Nina mpenzi wangu nataka ishi nae lakini yeye amekuwa kikwazo.

Naomba ushauri

Katiba mpya 50/50............... Hii ndiyo habari ya mjini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom