sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Ingekuwa ni tukio la Bar peke yake tungemsikizia shetani kwamba amekupitia lakini umehama mji na bado ukam-entertain akaja alafu tena bado unataka ushauri kutoka kwa wadau, kama ulikuwa humtaki iwaje tena umruhusu akufuate huko uliko
kabisa......tena huyo dada aendelee kukomaa tu......mtu haumtaki unamleta mpaka kwako ili iweje.....