Kuna dada nilikutana nae mjini (bar) tukadate.
Nikahama mji akaja kunitembelea Hataki kutoka.
Nina mpenzi wangu nataka ishi nae lakini yeye amekuwa kikwazo.
Naomba ushauri
aieee kwa hiyo wewe ulimfanya matusi alafu umwache? agome kabisa
Achana naye mwambie unamtu wako
Miss sasa ile miadi yetu vipi!!!