Tulikutana mjini anataka ndoa

Tulikutana mjini anataka ndoa

danhort

Member
Joined
Oct 4, 2014
Posts
18
Reaction score
1
Kuna dada nilikutana nae mjini (bar) tukadate.

Nikahama mji akaja kunitembelea Hataki kutoka.

Nina mpenzi wangu nataka ishi nae lakini yeye amekuwa kikwazo.

Naomba ushauri
 
Mhhh.. Labda na yeye angeleta maelezo ingesaidia kutoa ushauri ambao sio biased.. Maelezo ya kwako tu hayatoshelezi.. Labda ulimuahidi ndoa..
 
Ingekuwa ni tukio la Bar peke yake tungemsikizia shetani kwamba amekupitia lakini umehama mji na bado ukam-entertain akaja alafu tena bado unataka ushauri kutoka kwa wadau, kama ulikuwa humtaki iwaje tena umruhusu akufuate huko uliko
 
Angalia unaweza chagua pabaya unayemkataa kumbe ndiyo mke bora
 
Mwachie chumba na kila kilichomo chumbani kama zawadi kwake. Si alikuwa anakukojolesha siku mlizokaa? Tafuta sehemu nyingine/hama hapo, katafute chumba kwa ajili ya huyo mkeo mtarajiwa.
 
Mmetongozana

Mmedunguana

Mkapelekana majumbani

Ukahama ukamwambia

Then ukamkaribisha

Sasa hivi unajishaua humtaki
 
Na hilo ndo tatizo lenu boys...una mpenzi still undate na mwingine mntegemea nin mwana kulitaka ndo mwana kulipewa
 
We ni ---- demu wa bar unamleta kwako oa sasa na umalaya wako wa kitoto
 
yaani wewe ufanye umalaya wako huko halafu tukupe ushauri ...........................
 
Nikuulize kabla ya ushauri!
1. Ana muda gani toka akufuate?
2. Hiko kipindi anachokaa bado unamgegeda!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom