Tulikoswa na kifo tukiwa pamoja

Tulikoswa na kifo tukiwa pamoja

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,561
Reaction score
105,361
Nilitakiwa kingia kibaruani saa 18:00, na sikuhiyo pia nilikuwa ninamiadi ya kukutana na mdada m-moja niliekuwa nimemtingoza kwa muda wa kama miezi 3 mfululizo pasipo na mafanikio.
Siku mbili kabla mvua kuubwa ilikuwa imenyesha na kuendelea kudondosha manyunyu kwa masaa kadhaa, hali iliyo pelekea ardhi ya maeneo yale kutengeneza tope la kutisha na hali ya hewa kubadilika na kufanya baridi jembamba.
Muda wa kwenda kazini ulifika nilijiandaa na nikamuaga mpenziwangu tuliekuwa tukiishi pamoja nakwenda kazini. Nilipiofika sikuhiyo nilikuwa sina amani, mawazo yalinijaa huku nikiwaza nijinsigani nitaweza kuondoka kazini ili nirudi kwenye miadi ya kwenda ku.... na yule mdada niliekua nikimsotea kwamuda mrefu. Basi ndipo nilipo panga mkakati wa kudanganya boss kwamba ninamatatizo ya kifamilia, boss aliniruhusu na kufikia mida ya saa 21:00 nilikua tayari nimeshafika kwenye miadi na kukaribishwa ndani na yule dada.
Kwakuwa kile chumba hakikuwa na kiti ilibidi anikaribishe nikae kitandani, nami bila hiyana huyooo nikakaa huku nikijichekesha na kujitahidi kuonyesha upendo mkubwa juu yake, nae hakuwa mchache mdada akanikirimu kwa mabusu huku akonivua nguo (sare) za kazini, kwani zilikua zimeloa kwa mvua ilioninyeshea nikiwa njiani na nikabaki na kaptura tu.
Kabla hatuja fanya chochote, basi akaniomba nikaoge ili tuje tulale kwa raha zetu, akanipelekea maji bafuni, naye akajifinga kanga moja ili tukaogo pamoja.
Wakati tunaoga, ghafla tuliskia kishindo kikubwa sana na alipo mulika nje kutokea bafuni, tuliona nyumba yoote imeanguka.
Sikuweza kuoga tena, viatu pamoja na nguozangu, walet ikiwa na vitambulisho na kadi za benki zote zilikua zimefunikwa na udongo pamoja na mabati, ilinilazimu niondoke kwenda nilipokua nikiishi nikiwa na kaptura, sikuweza kusubiri watu wajae kwani walikuwa wananijua pamoja na mwanamke wangu, pia yule dada alikua ni mlokole nailikua inajulikana pale mtaani.
Hivyo ndivyo nilivyo koswa na kifo.
 
Nilitakiwa kingia kibaruani saa 18:00, na sikuhiyo pia nilikuwa ninamiadi ya kukutana na mdada m-moja niliekuwa nimemtingoza kwa muda wa kama miezi 3 mfululizo pasipo na mafanikio.
Siku mbili kabla mvua kuubwa ilikuwa imenyesha na kuendelea kudondosha manyunyu kwa masaa kadhaa, hali iliyo pelekea ardhi ya maeneo yale kutengeneza tope la kutisha na hali ya hewa kubadilika na kufanya baridi jembamba.
Muda wa kwenda kazini ulifika nilijiandaa na nikamuaga mpenziwangu tuliekuwa tukiishi pamoja nakwenda kazini. Nilipiofika sikuhiyo nilikuwa sina amani, mawazo yalinijaa huku nikiwaza nijinsigani nitaweza kuondoka kazini ili nirudi kwenye miadi ya kwenda ku.... na yule mdada niliekua nikimsotea kwamuda mrefu. Basi ndipo nilipo panga mkakati wa kudanganya boss kwamba ninamatatizo ya kifamilia, boss aliniruhusu na kufikia mida ya saa 21:00 nilikua tayari nimeshafika kwenye miadi na kukaribishwa ndani na yule dada.
Kwakuwa kile chumba hakikuwa na kiti ilibidi anikaribishe nikae kitandani, nami bila hiyana huyooo nikakaa huku nikijichekesha na kujitahidi kuonyesha upendo mkubwa juu yake, nae hakuwa mchache mdada akanikirimu kwa mabusu huku akonivua nguo (sare) za kazini, kwani zilikua zimeloa kwa mvua ilioninyeshea nikiwa njiani na nikabaki na kaptura tu.
Kabla hatuja fanya chochote, basi akaniomba nikaoge ili tuje tulale kwa raha zetu, akanipelekea maji bafuni, naye akajifinga kanga moja ili tukaogo pamoja.
Wakati tunaoga, ghafla tuliskia kishindo kikubwa sana na alipo mulika nje kutokea bafuni, tuliona nyumba yoote imeanguka.
Sikuweza kuoga tena, viatu pamoja na nguozangu, walet ikiwa na vitambulisho na kadi za benki zote zilikua zimefunikwa na udongo pamoja na mabati, ilinilazimu niondoke kwenda nilipokua nikiishi nikiwa na kaptura, sikuweza kusubiri watu wajae kwani walikuwa wananijua pamoja na mwanamke wangu, pia yule dada alikua ni mlokole nailikua inajulikana pale mtaani.
Hivyo ndivyo nilivyo koswa na kifo.
Ukome (kucheza) mechi za mchangani. ukirudia tena utaliwa!
 
Mshahara wa dhambi ni mauti ingawa hukufa ila ni onyo kutoka kwa aliyekuumba! Ikimbie zinaa kijana. Unachokifuata nje hakina tofauti na ulichokiacha ndani kwako. Na iwe fundisho kwa wenye tabia kama zako.

ENENDA KATUBU NA USITENDE DHAMBI TENA.
 
Sijui kwanini nimejisikia kucheka...my bad!
 
Kwanza hilo ni onyo kwako, katika 1 Wakorintho 3: 16 - 17 inasema huyo msichana kama kweli ni mlokole ni hekalu la Mungu na kwamba wewe uliyedhamiria kulichezea hekalu hilo Mungu mwenyewe alikuwa akuue. Uliponea chupuchupu we kibaka. Ungeaibika mpaka kwenye mazishi yako. Ulikuwa uokotwe uchi wa mnyama ndani ya gofu. Usirudie tena
 
Mshahara wa dhambi ni mauti ingawa hukufa ila ni onyo kutoka kwa aliyekuumba! Ikimbie zinaa kijana. Unachokifuata nje hakina tofauti na ulichokiacha ndani kwako. Na iwe fundisho kwa wenye tabia kama zako.

ENENDA KATUBU NA USITENDE DHAMBI TENA.

Asante mpendwa,
Ndio nimesha mrudia muumba, na nimetoa ushuhuda yasije wakuta na ninyi
 
Kwanza hilo ni onyo kwako, katika 1 Wakorintho 3: 16 - 17 inasema huyo msichana kama kweli ni mlokole ni hekalu la Mungu na kwamba wewe uliyedhamiria kulichezea hekalu hilo Mungu mwenyewe alikuwa akuue. Uliponea chupuchupu we kibaka. Ungeaibika mpaka kwenye mazishi yako. Ulikuwa uokotwe uchi wa mnyama ndani ya gofu. Usirudie tena

Doh..!! Kweli adabuyako ndogo.
Mbona unanikosea hishma?
 
Nilitakiwa kingia kibaruani saa 18:00, na sikuhiyo pia nilikuwa ninamiadi ya kukutana na mdada m-moja niliekuwa nimemtingoza kwa muda wa kama miezi 3 mfululizo pasipo na mafanikio.
Siku mbili kabla mvua kuubwa ilikuwa imenyesha na kuendelea kudondosha manyunyu kwa masaa kadhaa, hali iliyo pelekea ardhi ya maeneo yale kutengeneza tope la kutisha na hali ya hewa kubadilika na kufanya baridi jembamba.
Muda wa kwenda kazini ulifika nilijiandaa na nikamuaga mpenziwangu tuliekuwa tukiishi pamoja nakwenda kazini. Nilipiofika sikuhiyo nilikuwa sina amani, mawazo yalinijaa huku nikiwaza nijinsigani nitaweza kuondoka kazini ili nirudi kwenye miadi ya kwenda ku.... na yule mdada niliekua nikimsotea kwamuda mrefu. Basi ndipo nilipo panga mkakati wa kudanganya boss kwamba ninamatatizo ya kifamilia, boss aliniruhusu na kufikia mida ya saa 21:00 nilikua tayari nimeshafika kwenye miadi na kukaribishwa ndani na yule dada.
Kwakuwa kile chumba hakikuwa na kiti ilibidi anikaribishe nikae kitandani, nami bila hiyana huyooo nikakaa huku nikijichekesha na kujitahidi kuonyesha upendo mkubwa juu yake, nae hakuwa mchache mdada akanikirimu kwa mabusu huku akonivua nguo (sare) za kazini, kwani zilikua zimeloa kwa mvua ilioninyeshea nikiwa njiani na nikabaki na kaptura tu.
Kabla hatuja fanya chochote, basi akaniomba nikaoge ili tuje tulale kwa raha zetu, akanipelekea maji bafuni, naye akajifinga kanga moja ili tukaogo pamoja.
Wakati tunaoga, ghafla tuliskia kishindo kikubwa sana na alipo mulika nje kutokea bafuni, tuliona nyumba yoote imeanguka.
Sikuweza kuoga tena, viatu pamoja na nguozangu, walet ikiwa na vitambulisho na kadi za benki zote zilikua zimefunikwa na udongo pamoja na mabati, ilinilazimu niondoke kwenda nilipokua nikiishi nikiwa na kaptura, sikuweza kusubiri watu wajae kwani walikuwa wananijua pamoja na mwanamke wangu, pia yule dada alikua ni mlokole nailikua inajulikana pale mtaani.
Hivyo ndivyo nilivyo koswa na kifo.

Unawadhalilisha walokole huyo dada alikuwa mlokole feki wewe ulitoa hela ya bandia nawe ukapewa dhahabu feki hivyo ngoma droo dah kwanini kile kifusi hakikuwafunika? Mngeanza kupewa malipo yenu hapahapa. Umepewa last chance ukiichezea...........!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom