We umeleta habari ya uchochezi. Wajanja tumeshajua unataka kutuambia maamuzi ya kuizuia sukari ya mzee Bakhresa, rais wetu mpendwa alifanya maamuzi ya mwendo kasi.Hahahahaha hoja ya sukari imeisha yaani Chadema mliamini Magufuli atainyoosha CCM ili nyie Chadema mfanikiwe wakati CCM ndiyo wamempa urais akili nyingine bana.
Tuendelee na hoja yetu ya sukari msome hapa kiduchu Rais Magufuli.
Rais aliagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuipatia kampuni hiyo ya Azam eneo la ekari 10,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa.
Pro-Chadema JF hata nalo mnapinga daah!
Hoja zimeisha umebakisha viroja Ahahahhahahaha!!We umeleta habari ya uchochezi. Wajanja tumeshajua unataka kutuambia maamuzi ya kuizuia sukari ya mzee Bakhresa, rais wetu mpendwa alifanya maamuzi ya mwendo kasi.
Na ili kutomuudhi mlipa kodi mzuri prezidaa ametoa ardhi kama pole kwa usumbufu.
Najua unataka kutuambia Rais amejifunza kutokana na makosa. Na kwamba hatawasikiliza tena washauri uchwara wa pale Lumumba.
Wakati anaizuia waganga njaa walimdanganya rais wetu kuwa sukari haijalipiwa kodi.Hoja zimeisha umebakisha viroja Ahahahhahahaha!!
Hoja ya sukari msome tena Rais wetu Dr Magufuli.
RAIS Dk. John Magufuli, amemwagiza Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Charles Mwijage kumrudishia mfanyabiashara maarufu nchini, Said Salim Bakhresa sukari yake iliyozuiwa bandarini kwa sababu biashara yake ina tija kwa taifa.
Bavicha tu ndiyo hawawezi kumuelewa rais Magufuli.
Nasikia sasa hivi Ufipa njaa imetawala.
Uwa najiuliza sana Mbowe pamoja na elimu yake kiduchu ya kadato cha nne lakini kaweza kuwashikia akili wote mmekuwa mateka wake.Wakati anaizuia waganga njaa walimdanganya rais wetu kuwa sukari haijalipiwa kodi.
Hivi sasa nadhani atakuwa makini. Mmamuaibisha rais nyie waganga njaa wa Lumumba. Hii kufidia heka elfu 10 si mchezo... imemuuma sana. Jiandaeni kutumbuliwa.
Hoja hapa ni sukari. Waganga njaa wa Lumumba mmemdanganya rais akazuia sukari ya mlipa kodi mzuri. Sasa rais amelazimik kumfidia mzee wa watu ekari elfu 10 ili kumbembeleza mzee wa watu ajenge kiwanda kingine.Uwa najiuliza sana Mbowe pamoja na elimu yake kiduchu ya kadato cha nne lakini kaweza kuwashikia akili wote mmekuwa mateka wake.
Naona mwendelezo wa viroja unaendelea unasema hoja ni sukari wewe tena huyo huyo unarukia Lumumba tena.Hoja hapa ni sukari. Waganga njaa wa Lumumba mmemdanganya rais akazuia sukari ya mlipa kodi mzuri. Sasa rais amelazimik kumfidia mzee wa watu ekari elfu 10 ili kumbembeleza mzee wa watu ajenge kiwanda kingine.
Mmempotosha rais vijana wa Lumumba.
kweli unaishi hapa nchini wewe juz tu hapa hukusikia walivyokua wakifanya bandariniWanaukumbi.
Kupitia humu JF tulikuwa tunasoma habari kutoka kwa members wenzetu na waandishi wa habari kuwa mfanyabiashara Said Bakhresa, ni mkwepa kodi mkubwa ambaye anaikosesha serikali mapato.
Lakini leo kinyume chake tumemsikia leo Rais Magufuli, akisema kuwa "hongera sana mzee wangu Bakhresa. Wewe ni mlipaji kodi mzuri, na mimi napenda walipa kodi."
Sasa najiuliza hizo habari za ukwepaji wa kodi wa Said Bakheresa, waandishi wetu wa habari na baadhi ya members wenzetu humu JF walikuwa wanazipata wapi.
Au ndiyo muendelezo wa chuki zisizo na msingi dhidi ya mzalendo mlipaji kodi mzuri Mzee Bakheresa.
Mtoto wa Bakhresa, katika risala yake pale kiwandani amesema kuwa wamelipa kodi jumla ya Tsh. 50 Billioni.
View attachment 413553
Wanaukumbi.
Kupitia humu JF tulikuwa tunasoma habari kutoka kwa members wenzetu na waandishi wa habari kuwa mfanyabiashara Said Bakhresa, ni mkwepa kodi mkubwa ambaye anaikosesha serikali mapato.
Lakini leo kinyume chake tumemsikia leo Rais Magufuli, akisema kuwa "hongera sana mzee wangu Bakhresa. Wewe ni mlipaji kodi mzuri, na mimi napenda walipa kodi."
Sasa najiuliza hizo habari za ukwepaji wa kodi wa Said Bakheresa, waandishi wetu wa habari na baadhi ya members wenzetu humu JF walikuwa wanazipata wapi.
Au ndiyo muendelezo wa chuki zisizo na msingi dhidi ya mzalendo mlipaji kodi mzuri Mzee Bakheresa.
Mtoto wa Bakhresa, katika risala yake pale kiwandani amesema kuwa wamelipa kodi jumla ya Tsh. 50 Billioni.
View attachment 413553
Mmempotosha rais akazuia sukari ya mlipa kodi... sasa analazimika kutoa ekari elfu 10 kama fidia.Naona mwendelezo wa viroja unaendelea unasema hoja ni sukari wewe tena huyo huyo unarukia Lumumba tena.
Ufipa nasikia hamna posho saizi nafasi yako kachukuwa Mmwawia.
Hoja hii hapa.
RAIS Dk. John Magufuli, amemwagiza Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Charles Mwijage kumrudishia mfanyabiashara maarufu nchini, Said Salim Bakhresa sukari yake iliyozuiwa bandarini kwa sababu biashara yake ina tija kwa taifa.
Msome Rais kiduchu maana mlisema anaiga sera zenu Chadema.Mmempotosha rais akazuia sukari ya mlipa kodi... sasa analazimika kutoa ekari elfu 10 kama fidia.
Mkandanganya rais bandarini hata ikija meli moja hatutatetereka... hivi sasa kaenda kumwangukia Kabila aitumie bandari ya Dsm
Mkamdanganya tunaweza kuishi bila kutegemea misaada ya wafadhili.. tetemeko hapo Kagera tu tumewavunjia vidole wafadhili...
Lumumba mmempotosha sana rais. Uzuri kashashtuka hivi sasa anawasikiliza wataalam zaidi.
watu hawa anao kwenye korido za lumumba ameacha kuwauliza anasingizia JF kwani wao ndio waliotuaminisha jamaa mkwepa kodi wakiongozwa na mkulu wao
Mbona wewe huongelei ufisadi wa Richmond na hati fungani ambayo imesababisha mkwe wa fisadi Siyoi Sumary kusaota lumande hadi leo,halafu nasikia kuna mgombea alijinyea jukwaani mbona huwa humuonglei.Mbona hamuongelei inshu za ufisadi kama [HASHTAG]#Escrow[/HASHTAG],Lugumi ,ununuzi wa kivuko kibovu n.k?
Lazima amdurahishe baada ya kugundua waganga njaa wa Lumumba mlimpotoshaMsome Rais kiduchu maana mlisema anaiga sera zenu Chadema.
“Tena ndugu yangu, nitakupa eneo ulime miwa ili upate sukari ya viwandani na ya majumbani, tena nitakupa bure, wewe Bakhresa umenifurahisha sana".
Amdurahishe ndiyo nini?Lazima amdurahishe baada ya kugundua waganga njaa wa Lumumba mlimpotosha
Hali ngumu inapompata mwanadam anaweza kufanya au kusema lolote,tafakari chukua hatuaWanaukumbi.
Kupitia humu JF tulikuwa tunasoma habari kutoka kwa members wenzetu na waandishi wa habari kuwa mfanyabiashara Said Bakhresa, ni mkwepa kodi mkubwa ambaye anaikosesha serikali mapato.
Lakini leo kinyume chake tumemsikia leo Rais Magufuli, akisema kuwa "hongera sana mzee wangu Bakhresa. Wewe ni mlipaji kodi mzuri, na mimi napenda walipa kodi."
Sasa najiuliza hizo habari za ukwepaji wa kodi wa Said Bakheresa, waandishi wetu wa habari na baadhi ya members wenzetu humu JF walikuwa wanazipata wapi.
Au ndiyo muendelezo wa chuki zisizo na msingi dhidi ya mzalendo mlipaji kodi mzuri Mzee Bakheresa.
Mtoto wa Bakhresa, katika risala yake pale kiwandani amesema kuwa wamelipa kodi jumla ya Tsh. 50 Billioni.
View attachment 413553
Amdurahishe ndiyo nini?
Nasikia sasa hivi ofisi za Chedama zipo Masaki kwa Lowassa Ufipa mmebaki nyie tu.
Moja ya sifa ya Rais wetu hana sifa ya kupotoshwa au unajipendekeza, msome kiduchu tena Rais wetu anavyomuelezea Bakhresa.
“Kupitia kilimo hicho Watanzania wengi watapata ajira na pia kiwanda kitatumia sukari ambayo ni salama kwa afya zetu na pia kuongeza upatikanaji wa sukari hapahapa nchini,”
Wewe kuandika Lumumba sawa mimi nikitaja Ufipa mnaposhinda mnakunywa mbege huku mnadanganyana kuwa rais anafuata sera za Chadema unawaka hahahaha Bavicha bana.Unamind mpaka typo?? Haya isomeke amfurahishe... happy?? Au unabisha rais hajamfurahisha mzee wtu kwa kuiachia sukari yake baada ya kuizuia kimakosa?? Na makosa hayo aliyafanya kwa ushauri mbaya wa waganga njaa wa Lumumba... Ndio maana kwa hasira hajampa yeyote miongoni mwenu zawadi ya ukuu wa wilaya..
Ishu ya ofisi za CDM kuwa Masaki au Ufipa inahusiana nini na hoja kuu??
Hoja yetu ya leo ni Rais kuiachia sukari ya Mzee Bakhresa baada ya kugundua alipotoshwa na waganga njaa wa Lumumba. Na imemlazimu atoe ekari elfu 10 ili kumtaka radhi mzee wetu asije akasitisha kuanzisha kiwanda cha sukari.
Unafikiri rais hana akili? Asingetoa ekari elfu 10, mzee wa watu angekasirika... na unajua angekasirika kingetokea nini??? Nchi ya viwanda ingekuwa historia.
Basi niambie msingempotosha angeizuiaje sukari ya mlipa kodi mzuri??