Tulia Ackson ndio Waziri mkuu ajae

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,124
Reaction score
1,457
Nimekaa pale Tulia ackson ndo waziri mkuu ajae , wengine wanaolinganishwa nae watapewa vyeo vingine vya uwaziri ,ila Makonda lazima awe waziri
 
Dada Betina anazidi kuchanja mbuga.

Anakuja kwa kasi zaidi, na nguvu zaidi.

Na venye anavaa moka, atawabomoa viuno kweli kweli.

Wenye wivu mjinyonge.
 
Dada Betina anazidi kuchanja mbuga.

Anakuja kwa kasi zaidi, na nguvu zaidi.

Na venye anavaa moka, atawabomoa viuno kweli kweli.

Wenye wivu mjinyonge.
utoke kua msimamizi wa Muhimili uje kua waziri mkuu kwanza hao wabunge walichaguliwa na nani?
 
Wacha waendelee na sherehe ya kunywa damu waliyoimwaga juzi.
Time will tell.
Ukishiriki ujue na wewe una damu mikononi.
 
Nimekaa pale Tulia ackson ndo waziri mkuu ajae , wengine wanaolinganishwa nae watapewa vyeo vingine vya uwaziri ,ila Makonda lazima awe waziri
Wewe ni mtoto wa Rango au ni moja Kati ya wazee wa za ndani kabisaa? πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…