maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,734
- 2,307
Wanajukwaa za kwenu?
Leo nimekuwa nikifikiria kuhusiana na historia yetu kama watanzania ambayo lazima ianze na mtu mmoja mmoja.
Ukipitia biblia utaona katika kitabu cha Mathayo kuna historia ya ukoo wa Yesu wengine wakimwita Issa. Ni wangapi kati yetu ambao wanaweza kuandika vizazi vyao hata nusu ya kizazi cha Yesu- vizazi 42? Rejea Mathayo 1:1-17.
Tukifanya hii tunaweza kuandika historia ya kweli ya Afrika.
Asante na kazi njema kwenye kuandika historia za koo zetu.
Nawasilisha
Leo nimekuwa nikifikiria kuhusiana na historia yetu kama watanzania ambayo lazima ianze na mtu mmoja mmoja.
Ukipitia biblia utaona katika kitabu cha Mathayo kuna historia ya ukoo wa Yesu wengine wakimwita Issa. Ni wangapi kati yetu ambao wanaweza kuandika vizazi vyao hata nusu ya kizazi cha Yesu- vizazi 42? Rejea Mathayo 1:1-17.
Tukifanya hii tunaweza kuandika historia ya kweli ya Afrika.
Asante na kazi njema kwenye kuandika historia za koo zetu.
Nawasilisha