Nikiwa mtoto wa miaka 6, nikinusurik na kifo baada ya kuruka sarakasi juu angani halafu ukiwa angani unajigeuza kichwa juu miguu chin ndo unatua.
Sasa mimi sijui nilibugi step, niliruka nikaja kutulia shingo, weee, nilipoteza mawasiliano ya ulimwengu huu halisi nikaingia ulimwengu mwingine ambao huwezi kufuny maamuzi binafsi.
Mungu mwema baada ya nusu saa nikaanza kuuona ulimwengu tena halisi.
From there sijawahi kuruka hizo sarakasi, halafu nimekumbuka ngoja nimuite mwanangu nimkanye asije jaribu huu ujinga.