Tukutane kwenye discussion!

Mama etu alifariki tukiwa wadogo sanaaa 3yrs mama alifariki ila Mzee alikomaa alitulea mwenyewe kwa kumchukua dada wa mama aje kutulea hatukupelekwa popote pale na hapo tupo 9 kwaio sijui shida za walezi

Kwa hili sifa yake apewe tu Mzee wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…