Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 86
Jamani, nilikuwa namsikiliza shehe mmoja hivi wa mkoa wa Dar alipokuwa anawahamasisha waislam wakusanyike mnazimmoja, aliwaambia kuwa, inabidi wakusanyike ili waonyeshe uwingi wao. akiwa na maana, waislam ni wengi kuliko wakristo. plili, kwenye waraka wa waislam, wamesema kuwa, Tanzania ni nchi yenye waislam wengi kuliko wakristo. Jambo hili limekuwa likiongelewa toka mda mrefu sana, kiasi cha kumdanganya hata Lipuba kujibandika kwenye dini na CUF yake ili waislam walio wengi wamchague yeye, akiamini kuwa, kwasababu waislam ni wengi, akikifanya chama cha ngunguli kama cha kidini fulani, atapata kura za wengi, hasa kwa sasa ambapo baadhi ya mashehe wamesema wazi kuwa kwenye maeneo yao ccm haitapita.
Swali langu ni hili, hivi kuna umuhimu wa kujadili ni kina nani wengi na kina nani wachache? ikitokea wakristo wanaambiwa ndo wachache badala yake wakaonekana kama ndo wengi itakuwa vipi? debe tupu linakosa kulia?
kama kuna mtu mwenye Encarter encychlopedia hapo afungue, ile ya 2009, atakuta wakristo tz ni 45% waislam ni 30%, Kwamfano nimechukua kipande kidogo hiki toka encarter, ukifika hapo utaenda "next" ili uone vitu vyote.
http://encarta.msn.com/encyclopedia_761562305/Tanzania.html
IIIPopulation
Print this section
The population of Tanzania consists mostly of members of more than 120 black African groups, the majority of which speak a Bantu language. The largest ethnic groups are the Sukuma and the Nyamwezi. Other groups of significant size include the Haya, Ngonde, Chagga, Gogo, Ha, Hehe, Nyakyusa, Nyika, Ngoni, Yao, and Masai. The population also includes people of Indian, Pakistani, and Goan origin, and small Arab and European communities. People living in rural areas make up 62 percent of the population. About 45 percent of Tanzanians are Christians; Roman Catholicism is the largest denomination. Islam is the religion of about one-third of the people on the mainland and is dominant on Zanzibar. Less than one-fifth of the population follows traditional religions. Swahili and English are the official languages of Tanzania, but many people continue to use the language of their ethnic group.
ukienda kwenye CIA fact book, utakuta waislam 40% wakristo 30%, ukienda sehemu zingine utakuta wanasema half the population ni wakristo na waislam ni kama one third http://www.frommers.com/destinations/tanzania/3862020893.html, hapa napo wanaongea hivyohivyo.
kuna web nyingi sana zinazoonyesha hivyo. KWANINI NAONGEA HIVI? ni kwasababu nimeona kuna baadhi ya mashehe wasio waaminifu wanaochafua waislam wengine, wanakuja wakitaka kutuchukua watz akili wakisema kuwa, waislam wanao uwezo wa kufanya chochote kile katika nchi hii kwasababu wao ndo wengi na ndio wanaoamua nani achaguliwe na nani asichaguliwe katika nchi hii. kwenye radio wamejadili hadi wamechoka eg.radio kheri. wakisema kuwa, wanao uwezo wa kuwaambia waislam wamchague mtu mmoja tu, na kusema kuwa wanao uwezo wa kubadili uchaguzi watakavyo. huu ni usemi wa waislam wachache wasioelewa. SASA JE, hivi kweli wana uhakika kuwa wao ndo wengi, na kwamba wanatuchota kwenye akili hivyo watz tunaopenda umoja? mimi naomba tuiondoe hii MYTH, ili wote tujue hakuna haja ya kuhesabiana kidini, au kuchagua mtu kidini kama walivyotishia.
Swali langu ni hili, hivi kuna umuhimu wa kujadili ni kina nani wengi na kina nani wachache? ikitokea wakristo wanaambiwa ndo wachache badala yake wakaonekana kama ndo wengi itakuwa vipi? debe tupu linakosa kulia?
kama kuna mtu mwenye Encarter encychlopedia hapo afungue, ile ya 2009, atakuta wakristo tz ni 45% waislam ni 30%, Kwamfano nimechukua kipande kidogo hiki toka encarter, ukifika hapo utaenda "next" ili uone vitu vyote.
http://encarta.msn.com/encyclopedia_761562305/Tanzania.html
IIIPopulation
Print this section
The population of Tanzania consists mostly of members of more than 120 black African groups, the majority of which speak a Bantu language. The largest ethnic groups are the Sukuma and the Nyamwezi. Other groups of significant size include the Haya, Ngonde, Chagga, Gogo, Ha, Hehe, Nyakyusa, Nyika, Ngoni, Yao, and Masai. The population also includes people of Indian, Pakistani, and Goan origin, and small Arab and European communities. People living in rural areas make up 62 percent of the population. About 45 percent of Tanzanians are Christians; Roman Catholicism is the largest denomination. Islam is the religion of about one-third of the people on the mainland and is dominant on Zanzibar. Less than one-fifth of the population follows traditional religions. Swahili and English are the official languages of Tanzania, but many people continue to use the language of their ethnic group.
ukienda kwenye CIA fact book, utakuta waislam 40% wakristo 30%, ukienda sehemu zingine utakuta wanasema half the population ni wakristo na waislam ni kama one third http://www.frommers.com/destinations/tanzania/3862020893.html, hapa napo wanaongea hivyohivyo.
kuna web nyingi sana zinazoonyesha hivyo. KWANINI NAONGEA HIVI? ni kwasababu nimeona kuna baadhi ya mashehe wasio waaminifu wanaochafua waislam wengine, wanakuja wakitaka kutuchukua watz akili wakisema kuwa, waislam wanao uwezo wa kufanya chochote kile katika nchi hii kwasababu wao ndo wengi na ndio wanaoamua nani achaguliwe na nani asichaguliwe katika nchi hii. kwenye radio wamejadili hadi wamechoka eg.radio kheri. wakisema kuwa, wanao uwezo wa kuwaambia waislam wamchague mtu mmoja tu, na kusema kuwa wanao uwezo wa kubadili uchaguzi watakavyo. huu ni usemi wa waislam wachache wasioelewa. SASA JE, hivi kweli wana uhakika kuwa wao ndo wengi, na kwamba wanatuchota kwenye akili hivyo watz tunaopenda umoja? mimi naomba tuiondoe hii MYTH, ili wote tujue hakuna haja ya kuhesabiana kidini, au kuchagua mtu kidini kama walivyotishia.