Nilikuwa naishi jirani na bar ya kwa sonda na dr kisengi cjui kisenge.
Kwa Sonda kwa nyuma ndo homeSasa hivi ni mkubwa sana.
Mji unaanza kuupata ukifika Magiri kama unatoka Nzega.
Kama unatokea itigi unaanzia huku mbugani usawa wa kazima dam.
Ukiwa unatokea urambo unaanzia shule ya vipofu kule rail crossing malolo siyo vichakani tena.
Ukiwa unatokea Nzega kupitia mambali unaanzia kule kambi ya jeshi.
Upande wa kusini kwa kipalapala siyo porini tena inakaribia kuungana na mji.
Uwanja wa ndege umekuwa encroached sana
Kariakoo na lwanzari ziko mjini.
Kwa ujumla ni kwamba Tabora ya Leo ni kubwa kuliko Morogoro
Kwa Sonda kwa nyuma ndo home
Mkuu wamemsahau Asha Kulwakwenye vichaa hapo umemsahau makamba jeki bana!........jamaa mmoja alikua kibarua maarufu tunamuita fulu saba......anapeleka pwani huyoooo!!!!nakumbuka nikiwa 'kinda' tu mwanajeshi mmoja aliuawa majaruba ya isevya kutokea stesheni pale.......basi 'wajeda' wakaenda zika mtu wao kimya kimya halafu wakaingia mtaani sasa.......weee....wiki nzima msako,waliokuwa watuhumiwa wa hata udokozi miaka ile walikufa vibaya kwa singe na vipigo vya washkaji,vilio vikatawala mji mzima na amani ya hata kulala mlango wazi ikarejea!
FIFI alikuwa anatuhumiwa kuwaambukiza ukimwi dada zetu kwa makusudi,one day alionekana mitaa ya kwetu na dada mmoja wa pale pale mtaani kwetu anaitwa Tatu Mazegembe........alikuwa na makalio makubwa huyooo wacha.........basi wacha tumtoe nduki na mawe huku tunamwambia yule dada 'unaenda kufa wewe!!!'......aaaaa mboka matata wee.....mji wangu wa utotoni uliokataa kukua!
Nilisoma shule ya msingi na mtoto wa mwl.Kanyaboya,Damas.Jamaa alikuwa na akili halafu mchoraji mzuri toka darasa la kwanza.Sijui yuko wapi yule jamaa!Ha ha ha ha Ntalali na Ntonga!pale Tabora Boys alikuwepo Yahaya Akilimali..kafupi lakn kanapiga chenga mpaka balaaa...mwalimu alikuwa Bundala na Brasband ya Kanyaboya....unakutana mtbni na demu bomba ajabu lakin anatoka nyumba ya mbavu za mbwa!jambo la kawaida kukuta mauzauza njia panda..kuku kachinjwa na nazi imebanduliwa!!....watu wanaishi kwa kula vipande vya mihogo vilivyokatwa sokoni.......mtaa wa Marando Ng'ambo unasifika kwa wauza makopa wakiwa na vibatari!FIFI anamiliki pikipiki na ndo Digala....Tabora haiendelei licha ya ukongwe na umaarufu wake!imetoa watu maarufu na imesomesha viongozi pale Tbora Boys!Ngoma ya Waswezi na ushirikina!Wapi Dr.Othman kada wa CUF?U.M.D na NRA ndo ngome zao!1995 Mrema yupo moto..kaja na Makongoro Nyerere uwanja wa Kazima Sec..Nakumbuka Nukuu ya Makongoro "Mfupa uliomshinda Fisi Mbwa ataweza?"...kwamba ye kazaliwa Ikulu na kukulia humo lakn yupo NCCR!Tukamsukuma Mrema mpaka hoteli flani ipo BOMA-Road
R.I .P Ibra mshkaji kaondoka mapema sana, poleni sana wana mboka manyema.Wewe utakuwa na undungu na kijana alikuwa anaitwa Ibrahim Mgumia (Ibra), amefariki hivi karibuni. Alikuwa mwanajeshi, lakini baadae sijui ikawaje akarudi Mboka kwao.
Dr. Kisenge, kuweka record sawa hapo juu. Huyu Daktari alikuwa na Watoto karibu wote wa Kiume ambao walisumbua sana pale Uhazili. Mmoja wa mtoto wake ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo (Cardiovascular) hapo JK - Muhimbili.
Hivi club Royal bado ipo inapiga kazi ? Nawakumbuka sana washkaji akina Fundikira, sasa hivi namuona Mgalula anapeperusha bendera papi chulo .Haijafa, bali imebafilishwa jina.
Sasa hivi inaitwa Club Royal.
Ni kweli mkuu marehemu ibrahim(bula) ni kaka yanguWewe utakuwa na undungu na kijana alikuwa anaitwa Ibrahim Mgumia (Ibra), amefariki hivi karibuni. Alikuwa mwanajeshi, lakini baadae sijui ikawaje akarudi Mboka kwao.
Dr. Kisenge, kuweka record sawa hapo juu. Huyu Daktari alikuwa na Watoto karibu wote wa Kiume ambao walisumbua sana pale Uhazili. Mmoja wa mtoto wake ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo (Cardiovascular) hapo JK - Muhimbili.
Dah!! Tushapoa mkuu.R.I .P Ibra mshkaji kaondoka mapema sana, poleni sana wana mboka manyema.
Mkuu kipi kimekujuza km mie ni mdugu wa marehemu Ibrahim mgumia!?Wewe utakuwa na undungu na kijana alikuwa anaitwa Ibrahim Mgumia (Ibra), amefariki hivi karibuni. Alikuwa mwanajeshi, lakini baadae sijui ikawaje akarudi Mboka kwao.
Dr. Kisenge, kuweka record sawa hapo juu. Huyu Daktari alikuwa na Watoto karibu wote wa Kiume ambao walisumbua sana pale Uhazili. Mmoja wa mtoto wake ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo (Cardiovascular) hapo JK - Muhimbili.
Ni kweli mkuu marehemu ibrahim(bula) ni kaka yangu
Jana ndio nimerejea kutoka huko msibani.
Mkuu kipi kimekujuza km mie ni mdugu wa marehemu Ibrahim mgumia!?
Maana sijatoa details zote za msingi, zaidi ya kusema eneo nililokuwa naishi ambalo walikuwa wanaishi watu mamia kwa mamia.
Ning'ate sikio kidogo