Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Kwa nini mkuu? Umefuatilia historia na chanzo cha hiyo vita? Mi naona jamaa wangemchekea angefika mpaka katikati ya nchi.Vita ambayo wala haikua na sababu yeyote
Kwa nini mkuu? Umefuatilia historia na chanzo cha hiyo vita? Mi naona jamaa wangemchekea angefika mpaka katikati ya nchi.Vita ambayo wala haikua na sababu yeyote
Utakuwa mstaafu wewe mkuu, uongo?Nilikua form 3 Tambaza
Wewe ni legend hasaNilikua form 3 Tambaza
Siku hizi uzalendo ni kusifia rais na kuvaa scarf wenye rangi ya bendera ya taifa kama nchembaSikumbuki mwaka vizuri Ila nilikuwa darasa la 4 Kati ya 78 au 79. Ilitangazwa kuwa Vita imeisha na MASHUJAA wetu wanarudi nyumbani....
Miaka hiyo hata wazazi wangu ealikuwa bado hawajaanza kunyanduana unawakosea heshima wazazi wako?
huko ni kuwakosea heshima wazaziMiaka hiyo hata wazazi wangu ealikuwa bado hawajaanza kunyanduana
Kwa hiyo Mimi Bibi🤣🤣🤣🤣Hiyo 78 B mkubwa wangu alikuwa na mwaka mmoja
Dunia ya zamani neno mchumba, mchumba lilikuwa la kawaida la utani. Nilikuwa darasa la 4 na tulichokuwa tukifanya ni kuwapongeza na Serikali ndio ilipanga hivyo hakukuwa na harusi. MASHUJAA walikuwa wanarudi nyumbani baada ya kutembeza kichapo.Hujatuambia uliolewa na miongoni mwa wale mashujaa? au ulizingua
Da wewe utakuwa na historia nzuri na huu mtanange. Mie mjomba wangu alipigana aliporudi zikafyatuka Ila walichomsaidia alistaafishwa . Pension akilipwa ndani ya saa 1 Hana hata Mia. Hakuwahi kupata mtoto anaishi kama ndege.Ukoo wangu wote walikuwa vitani asee.
Babu-alikuwa commanding officer kwenye moja ya unit iliyokuwa front.
Baba mkubwa-Alikuwa kwenye kikosi cha kusupply msosi kwa wapiganaji.
Baba mkubwa mwingine-Alikuwa rubani.
Baba mzazi-yeye alienda awamu ya pili kulinda doria baada ya uganda kuwa tayari imetekwa.
Baba mdogo-alikuwa kikosi cha mizinga.
Baba mdogo wa pili-alikuwa front kukabiliana na adui.
Ninachoshukuru Mungu hawa watu wote bado wako hai mpaka dakika hii.
Acha kuwadharau viongozi na wananchi wazalendo waliopigania hii nchi na kuhihakikishia usalama hata baada ya mgogoro ule lakini pia tulitoa somo kwa viongozi wajinga wa nchi nyingine Tanzania sio ya mchezo mchezo...Moja Kati ya vita za hovyo kabisa kupiganwa dunia. Kulikuwa hamna haja ya kuingiza majeshi yetu ndani ya uganda. Tulitakiwa kuwafurusha wanajeshi wa uganda waondoke ndani ya nchi yetu na tubaki kulinda mipaka.
Vita nyingine ya hivyo ni Kati ya Ethiopia na Eritria. Mwandishi nguli Ahamed Rajabu aliwahi kuifananisha hii vita na watu wawili wenye vipara wanaogombea kitana. Maana ardhi wanayogombea haifai kwa chochote.
Nasikia vita hii Tanzania ilitugharimu sana kwani tulipoteza maliasili watu pamoja na fedha nyingi ingawa huwa haiwekwi hadharaniacha kuwadharau viongozi na wananchi wazalendo waliopigania hii nchi na kuhihakikishia usalama hata baada ya mgogoro hule lkn pia tulitoa somo kwa viongozi wajinga wa nchi nyingine tz sio ya mchezo mchezo...
kama wanavyokula nauli na wasitokee, alikula biskuti pia bila kuolewa😂Sasa ulikuja kuolewa na Shujaa kama ulivyonyoosha mkono kuwa wewe ni mchumbawe?
Nani aliyekuwa na chuki, tujuzeVita hiyo ilikua haina maslahi yoyote kwa taifa ilikua ni vita iliyo chochewa na chuki za kidini za mtu mmoja akishirikiana na mabeberu
Vipi huyu singi ako mdogo aliekuwa kwenye kikosi Cha mizinga, maana mimi ndg yangu alikuwa kikosi Cha mizinga aise, anasema mizinga ikichanganya kuunguruma akili inakuwa sio yako tena na nikikuwa namuona wakati mwngine Kama ana wenge hivi.Ukoo wangu wote walikuwa vitani asee.
Babu-alikuwa commanding officer kwenye moja ya unit iliyokuwa front.
Baba mkubwa-Alikuwa kwenye kikosi cha kusupply msosi kwa wapiganaji.
Baba mkubwa mwingine-Alikuwa rubani.
Baba mzazi-yeye alienda awamu ya pili kulinda doria baada ya uganda kuwa tayari imetekwa.
Baba mdogo-alikuwa kikosi cha mizinga.
Baba mdogo wa pili-alikuwa front kukabiliana na adui.
Ninachoshukuru Mungu hawa watu wote bado wako hai mpaka dakika hii.
1.Hvi unajua Luteni Jenerali Silas Mayunga, yule ambaye sanamu ya kumbukumbu ya vita vya Kagera iliyopo pale Bukoba inaitwa kwa jina lake, alikuwa kabila gani?,hasa makabila ya wasukuma,wanyakyusa,wangoni
Haya mambo ya miaka sijui nini, wametuletea mabeberu hayo. Sentensi sahihi ingekuwa "wakati huo B Mkubwa wangu alikuwa bado ananyonya na hata dalili ya kuacha ziwa ilikuwa bado"Hiyo 78 B mkubwa wangu alikuwa na mwaka mmoja
Ni kama naona unachoeleza, naamini morale ilikuwa juu Sana,Dunia ya zamani neno mchumba, mchumba lilikuwa la kawaida la utani. Nilikuwa darasa la 4 na tulichokuwa tukifanya ni kuwapongeza na Serikali ndio ilipanga hivyo hakukuwa na harusi. MASHUJAA walikuwa wanarudi nyumbani baada ya kutembeza kichapo.