Tukumbushane "table manners" mbovu

 
Njooni huku pwani muone mpaka leo bado watu wananawa sehemu moja ,yaani anaanza baba anatia mikono kwenye beseni wanafuata watoto na kula kwenye sinia moja,tena wanaona kawaida sana!
 
Njooni huku pwani muone mpaka leo bado watu wananawa sehemu moja ,yaani anaanza baba anatia mikono kwenye beseni wanafuata watoto na kula kwenye sinia moja,tena wanaona kawaida sana!
Khaa! Kumbe kuna watu bado wana hii tabia
 
Mkuu umeua, pata coke Baridi hapo kwa mangi
 
Ndio mnaanza kula ugali na kuku-jogoo mchuzi, ghafla jirani anaingia na kukaribishwa kwa heshima na taadhima. Anajibu: " Aaaa, nimeshiba, nimetoka kula muda si mrefu uliopita, lakini ngoja nitie baraka kidogo" anamega tonge mbili halafu anageukia bakuli la finyago na kuchukua bonge la paja!! Halafu: Aaa! asanteni nimeshiba" Ananawa mkono na kuodoka akimung'unya paja la jogoo!
 
Njooni huku pwani muone mpaka leo bado watu wananawa sehemu moja ,yaani anaanza baba anatia mikono kwenye beseni wanafuata watoto na kula kwenye sinia moja,tena wanaona kawaida sana!
Kinyaa, wanalishana uchafu
 
kizuri kula na jirani
 
Mnakula lnatokea jitu lina mafua linaanza kuyavuta ile sauti inakeraaa. Unataman umwambie akayatoe na asirudi mana n kama atarudi na uchafu
 
Mpo mezani mtu anakunywa chai kama anapenga kamasi

anavuuutaaaaa yani unamkata jicho 1,unamwambia kama ya moto si ukapooze aseee
 
Hii story niyakweli,miaka ya 90's kweusi,Digi alikua na wake wawili so tukawa natabia ya kila mama akipika chakula kinaletwa na tuna Kuna watoto wote kwa pamoja.huku kapika wali marage huyu kapika makande.sinia zinakuja mpaka tushibe.sasa Kuna dogo letu mmoja alikua Hana kipimo mzee tumekula sinia la kwanza,mtu Kama nane,sinia la pili dah kufika la tatu dogo kumbe alishiba kwanini asitapikeee dah alfu wali arageeee....ikawa mwisho
 
sema mimi kula mviringo kwenye sinia mtanisamehe ndugu zangu,yamenishindaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…