mpaka hapa jf itakuwa imethibitisha kuwa huyu dogo ni teja kweli na kichwa chaki si kizima.. Na upeo wake ni mdogo saaana, ni kichwa cha panzi . Na ni balehe inamsumbua, huenda ukienda hapo geto kwake kama avator yake inavyoonyesha utamkuta na vipande kibaoo vya sabuni ya geisha au ayu kwe godoro lake.