Tukumbushane riwaya za kusisimua

hata riwaya ya MARY ya beka mfaume iliyotoka kwenye gazeti la kiu ilikua ya kufa mtu.Jamaa anajua kupangilia matukio hadi unahisi unachokisoma ni kweli.sina kawaida ya kusoma magazeti pendwa lakn nilijikuta nanunua matoleo yote hadi ilipoisha hii riwaya.kweli beka ni kichwa.hiyo ya MWIBA aliitoa gazetini kisha akaikatisha na kutoa kitabu.nilijitahidi hadi nikakipata.jamaa anatishaaaa!
 
Riwaya nyingine hizi hapa:
UKIMUONA MMALIZE,
AWE HAI AU AMEKUFA NAMTAKA,
KIVUMBI UWANJANI,
AMA ZAKE AMA ZANGU,
SHIDA,
KULI.
 
Baadhi wa Waandishi mahiri wa enzi zetu:
Titus Msimbe,, Hammie Rajabu, Ben R.Mtobwa, Shafi Adam Shafi, Prof. Ndyanao Balisidya.
Prof.Penina Mlama, Gray Mchome, Aristablus Musiba, Mnenge Suluja , Hadji Konde,
John Rutayisingwa, Nkwera..., Har(o)un Semzaba. Amandina Lihamba.
Endeleza orodha tafadhali.....

Wengi wao hatupo nao tena hapa Duniani, Mwenyezi Mungu awalaze mahala pema peponi. Amina
 
Samahani kwa kuchelewa kuendelea kuleta uhondo. Niliamua kutafuta kazi za watunzi wachanga ambao wanakuja juu. Nimeanza na huyu anaitwa Ahmad Mniachi. Tafadhali rejea juu ili uweze kusoma miongoni mwa kazi zake ambazo anaandaa kitabu halafu tutamwangalia Juma Kidogo. Tuwape moyo UNDER GROUND.
 
Kitabu cha kwanza kukisoma kilikuwa ni kikomo,kikafuata Kikosi cha kisasi vyote vukiandikwa na mtunzi mahiri Musiba,nikageuka kuwa mpenzi mkubwa wa riway hizi ,ndani unakutana na willy gamba,mplelezi mashuhuri nambari one africa toka Tanzania katika miji ya shinyanga ,maganzo ,maswa ,mwadui ,jamani nikawa teja wa riwaya hizi nihakisha sipitwi na kitabu kipya ,si hammie rejab,Ben mtobwa ,aha nilikuwa darasa la saba ktk umri mdogo mwalimu anafundisha darasani mi nasoma NJAMA.NAJIONA KAMA NDIO WILLY GAMBA,na ukizingatia kulikuwa hakuna TV WAKATI ULE ! 1984 Wenzangu walikuwa wananizunguka nasoma wanasikiliza

Ilinisaidia kupenda kujisomea kwani sikupata taabu kwenye fasihi andishi wala literature pale form 3 Jmani kuna watunzi kwelikweli
Nikahamia kwenye Novel mills and boon na James hardly chase riwaya za kusisimua
WANTS TO STAY ALIVE?
FORMULAR FOR FEAR
BETTER DEAD THAN POOR
Leo nimekumbuka mengi siku hizi si msomsji tene wa riwaya hizi ,niko busy nasaka noti na malezi ya watoto :smow:
 
Kitabu cha kwanza kukisoma kilikuwa ni kikomo,kikafuata Kikosi cha kisasi vyote vukiandikwa na mtunzi mahiri Musiba,nikageuka kuwa mpenzi mkubwa wa riway hizi ,ndani unakutana na willy gamba,mplelezi mashuhuri nambari one africa toka Tanzania katika miji ya shinyanga ,maganzo ,maswa ,mwadui ,jamani nikawa teja wa riwaya hizi nihakisha sipitwi na kitabu kipya ,si hammie rejab,Ben mtobwa ,aha nilikuwa darasa la saba ktk umri mdogo mwalimu anafundisha darasani mi nasoma NJAMA.NAJIONA KAMA NDIO WILLY GAMBA,na ukizingatia kulikuwa hakuna TV WAKATI ULE ! 1984 Wenzangu walikuwa wananizunguka nasoma wanasikiliza

Ilinisaidia kupenda kujisomea kwani sikupata taabu kwenye fasihi andishi wala literature pale form 3 Jmani kuna watunzi kwelikweli
Nikahamia kwenye Novel mills and boon na James hardly chase riwaya za kusisimua
WANTS TO STAY ALIVE?
FORMULAR FOR FEAR
BETTER DEAD THAN POOR
Leo nimekumbuka mengi siku hizi si msomsji tene wa riwaya hizi ,niko busy nasaka noti na malezi ya watoto :smow:


Jamani hizi riwaya za zamani nazitafuta sana pia
 
Jamani hizi riwaya za zamani nazitafuta sana pia
Nilitaka nianze kuichapa njama na nyingine nizilete zote hapa jukwaani. Nimeshindwa kwani nimepewa keyboard mpya ambayo ina key za chuma inaumiza sana! nikipata keyboard nyingine nitazileta zote nilizonazo
 
Nilitaka nianze kuichapa njama na nyingine nizilete zote hapa jukwaani. Nimeshindwa kwani nimepewa keyboard mpya ambayo ina key za chuma inaumiza sana! nikipata keyboard nyingine nitazileta zote nilizonazo
Asante,ila nakuomba uheshimu kazi za waandishi wetu...omba ruhusa.
 
Asante,ila nakuomba uheshimu kazi za waandishi wetu...omba ruhusa.
Sawa Mkuu nimekuelewa vizuri, nakiri makosa kwa hizi mpya lakini nataka kujua kuhusu zile za zamani inakuwaje? kwani wengi wamekufa na hata zile kampuni za uchapaji nyingine hazipo tena!
 
Siri ya sifuri :Bwana Msa
Mpenzi 1 na mpenzi 2: Kajubi Mukajanga
Dogodogo wanitesaaa Niko ye mbajo
Hiba ya wivu
Nataka iwe siri ( au siri sirini )
Nyota ya Rehema
Kasri ya Mwinyi Fuad
Ushindi wa mahaba
Tutarudi na roho zetu
Kurwa na Doto
kikomo
kikosi cha kisasi
after 4.30 :DAvid Mailu
The flesh
unfit for human consumption
my dear bottle
Animal farm
 
Mimi ni mpenzi sn wa kusoma novels za Eng na Kisw.
Namkubali sn Shafi Adam, kuna kitabu chake kinaitwa HAINI anazungumzia true events, what happened alivouawa Karume Znz.
This is more than a novel, kinafurahisha na kuhuzunisha sn.
Ni kizuri sijapata kusoma kitabu km Haini
Mm nna novels nyingi za kisw, tata za asumini, nyota ya rehema, kiu, haini, kuli, vuta nkuvute, kasri ya mwinyi fuad, asali chungu, utengano, kivuli kinaishi, mwiba, mkimbizi n.k.
Lkn napenda sn za zamani.
 
mimi ni mpenzi sn wa kusoma novels za eng na kisw.
Namkubali sn shafi adam, kuna kitabu chake kinaitwa haini anazungumzia true events, what happened alivouawa karume znz.
This is more than a novel, kinafurahisha na kuhuzunisha sn.
Ni kizuri sijapata kusoma kitabu km haini
mm nna novels nyingi za kisw, tata za asumini, nyota ya rehema, kiu, haini, kuli, vuta nkuvute, kasri ya mwinyi fuad, asali chungu, utengano, kivuli kinaishi, mwiba, mkimbizi n.k.
Lkn napenda sn za zamani.
aisee naweza kuvipata wapi vitabu hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom