TUKUMBUSHANE:- Nyimbo za harusini za makabila mbalimbali

Eliwa ni ngoro eeehh naye aende wakwe.....lukundo lwa mwana luwaja aaaaeeeee luwajaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa (hee basi ngoja niwabakishie cha kuimba siku ya ndoa yangu nisimalize)
Alafu usinialike kwenye ndoa yako, utakiona cha moto! teh
 
Wasukuma wanao ule SENSEMA MALUNDE,
Wasambaa wanao wa SEGERA JADAMKA SINA UNGOYA
hebu tuongeze ongeze ili tuzitafute ambazo tutaweza kuziweka hapa, hata watoto wetu wajue kuwa na sisi tulikuwa na nyimbo zetu za harusi, maana naona utamaduni wetu unapotea kwa kazi ya kimbunga

Ni segere jadumka sina ungoya, umekosea Kidogo hapo kwenye jadumka, halafu kuna ule mwingine usemao Nimdodoo mame wa ngw'ai ni mdodo aauaaauaa, wabwanga nnanao, wandee nnanao.......Siku hz zimeachwa kwaito ndio inatawala
 
Ni segere jadumka sina ungoya, umekosea Kidogo hapo kwenye jadumka, halafu kuna ule mwingine usemao Nimdodoo mame wa ngw'ai ni mdodo aauaaauaa, wabwanga nnanao, wandee nnanao.......Siku hz zimeachwa kwaito ndio inatawala

hahahaaa umenikumbusha kwetu Tanga ujue..........!

Ni mdodo mamie mwali ni mdodo....... Auwaaauwaa
ni mdodo tatie mwali ni mdodo....... Aawaaauwaaa

wabwanga nnanao, wandele nnanao......

Segere jangu jadumka wabwanga, tucheze segereeee
segere jangu jadumka wose tucheze segere

ngoma ya wazigua yawatuliza mawazo jamani....... Wapi figganigga wapi Passion Lady wapi msambaa Madame B!!!!!!!!

kabanga wenzio chabwedaa na ngoma ya wazigula cha vina vidala vinohalusee!!!!!!!!

Arushaone soo uone mauno ya Lady doctor
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa umenikumbusha kwetu Tanga ujue..........!

Ni mdodo mamie mwali ni mdodo....... Auwaaauwaa
ni mdodo tatie mwali ni mdodo....... Aawaaauwaaa

wabwanga nnanao, wandele nnanao......

Segere jangu jadumka wabwanga, tucheze segereeee
segere jangu jadumka wose tucheze segere

ngoma ya wazigua yawatuliza mawazo jamani....... Wapi figganigga wapi Passion Lady wapi msambaa Madame B!!!!!!!!

kabanga wenzio chabwedaa na ngoma ya wazigula cha vina vidala vinohalusee!!!!!!!!

Arushaone soo uone mauno ya Lady doctor

siitegeleza dyelo RFA... wanikumbusha mbali mnala....!
 
na wewe kikwenu mnaimbajie? weka hapa
Wasukuma wanao ule SENSEMA MALUNDE,
Wasambaa wanao wa SEGERA JADAMKA SINA UNGOYA
hebu tuongeze ongeze ili tuzitafute ambazo tutaweza kuziweka hapa, hata watoto wetu wajue kuwa na sisi tulikuwa na nyimbo zetu za harusi, maana naona utamaduni wetu unapotea kwa kazi ya kimbunga
 
sensema na malunde sensema sese sensemaaaa
Ni segere jadumka sina ungoya, umekosea Kidogo hapo kwenye jadumka, halafu kuna ule mwingine usemao Nimdodoo mame wa ngw'ai ni mdodo aauaaauaa, wabwanga nnanao, wandee nnanao.......Siku hz zimeachwa kwaito ndio inatawala
 
hahahaaa umenikumbusha kwetu Tanga ujue..........!

Ni mdodo mamie mwali ni mdodo....... Auwaaauwaa
ni mdodo tatie mwali ni mdodo....... Aawaaauwaaa

wabwanga nnanao, wandele nnanao......

Segere jangu jadumka wabwanga, tucheze segereeee
segere jangu jadumka wose tucheze segere

ngoma ya wazigua yawatuliza mawazo jamani....... Wapi figganigga wapi Passion Lady wapi msambaa Madame B!!!!!!!!

kabanga wenzio chabwedaa na ngoma ya wazigula cha vina vidala vinohalusee!!!!!!!!

Arushaone soo uone mauno ya Lady doctor


kumbe huku ndo mmeanzia mara naona ndoa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom