Mwanza kuna mbute, mapalage, michembe, matobolwa na samaki kibao kama fulu, chengu, sato nghuyu, nembe, gogogo, ningu, kamongo nk
We Mushi tangu lini kweme zikawa matunda???Nwy umesahau mtori..machalari..kisusio...ugali wa ndizi...perege...miwa...zambarau...elimu...mbege...nzuga...ukija pale moshi kuna vyakula kama kiburu,ng'ande,kitalolo ni balaa,kuna matunda kama kweme na viazi vikuu..dah home sweet home..
Nsansa, nswalu na matunda kama ntalali, ndanti, mantonga, makebhe oooh ...NOWORAumenikumbusha Kule tabora kuna Mlenda, kihembe cha nsili, uyoga(bhobha), matobolwa, masangu ga mhande, dengu,
mzabagulwa, msosolwa, matembele, nswa, nsansa, mzubho na vingine vingi, bila kusahau maziwa, asali na viazi.