magessa78
JF-Expert Member
- Sep 28, 2009
- 270
- 31
Huyu bwana alimsurubu sana Mbowe miaka ile. Ajabu, alipopigwa chini kura za maoni 2005 kwenye chama lao la magamba akataka kuchepukia CDM. Sijui baadaye aliishia wapi!
Abel Kyagunya Mwanga 1975-1995 (Musoma mjini)
Emmanuel Magoti 1995-2000 (musoma mjini)
Ibrahim Marwa 2000-2005 (musoma mjini)
Vedastus Mathayo Manyinyi 2005-2010 (musoma mjini)