- Thread starter
- #101
Huyu si alipata kuvuma sana mjengoni,sijui yu wapi?Wenye data pls.Eliakim Simpasa yuko wapi?
Huyu si alipata kuvuma sana mjengoni,sijui yu wapi?Wenye data pls.Eliakim Simpasa yuko wapi?
Kihiyo aliingia lakini akina Masumbuko Lamwai (akiwa mpiganaji na NCCR) walimng'oa mahakamani kwa kudanganya elimu.
- tuntemeke sanga - Makete ( sasa ni marehemu)
- vipi kihiyo hakuingia mjengoni hapa nimesahau kidogo
wengine ni;
1. Mwamtumu Mahiza
2. John Samweli Malecela
3. mbowe(1995)
4. Anthony Dialo
5. Laurent Masha
Njelu Kasaka alikuwa mwiba,lakini akaja kutulizwa,sijui yuko wapi?Karamagi - Bukoba Vijijini
Lucy Brasio Msafiri - Muleba Kaskazini huyu alikuwa chakula ya wazee bungeni.
Deodutus Kamala- Nkenge (Wananchi walimchoka ila sasa wanajutia maamuzi yao, kwa kupeleke chakula ya wazee nyingine)
Eustace Katagira - Kyerwa (1995)
Benedict Mtungirilei - Kyerwa (2000)
Msiwasahau na wengine wa G55.
khaaa! Watu mna visa. Eti alikodisha watu. Kibaya kwako kwa mwenzio kinaweza kuwa kizuri.<span style="font-family: comic sans ms"><font size="3">Rostam Aziz a.k.a Rostitamu! ya Igunga. Huyu jamaa mafia kweli kweeeli.Siku ya kutangaza kujiuzulu a.k.a Kujivua gamba alikodisha hadi watu wa kuzimia......tehe tehe tehe! </font></span>
Hoja yake siyo mbaya kusema kweli,dalili zipo kuwa watu walikuwa wanazililia nafsi zao.Au leo umekuja kivingine Husninyo?khaaa! Watu mna visa. Eti alikodisha watu. Kibaya kwako kwa mwenzio kinaweza kuwa kizuri.
Dah mkuu umenikumbusha kichwa hiki,kilivuma sana mjengoni.Kuwayawaya S. Kuwayawaya...Jamaa alikuwa napiga suti nyekundu tu akiingia bungeni na sharubu zake sijui kapotelea wapi???
Sigella Mswima... sijui wilaya yake ya Ubunge ... Alisha kuwa Naibu Waziri wa Maji
Lily Monze 1975-1977 ... sijui Wilaya... Alisha kuwa Naibu Waziri wa Fedha
Masauni Y. Masauni ... well he was American akabadilisha dini na uraia -- kama sikosei aligombea ubunge huko Zanzibar?
Tabitha Siwale .... Mbunge wa Liwale... Aliishika Wizara ya Elimu... one day wakamtolea Shilingi alilia kama mtoto... LOL - Wakairudisha[/QUOTE
Nasikia na prezidaa wa SMZ aliwahi kumwagwa kule Pemba na CUF,sijui kama ni kweli.
Huyu bwana alimsurubu sana Mbowe miaka ile. Ajabu, alipopigwa chini kura za maoni 2005 kwenye chama lao la magamba akataka kuchepukia CDM. Sijui baadaye aliishia wapi!